Like that hapo hachomoki mtu kwa madeni haya bora kutokuzaa sasa maana tutawapa shida watoto wetu kulipa madeni ambayo wao haya wahusu, bado wengine tunadaiwa mikopo na loan bord, deni la taifa linazidi kukua sijui mwisho wake niupi, mm kwakweli nafunga kizazi sitaki kuzaa[emoji27] [emoji27]...
Wakenya mnapenda sifa duh vijengo vyenyewe mnavga picha usiku vinawaka waka ndo mnatutumia vyenywewe vifup kama hostel za wanafunzi halafu mnasema Nairobi pzur kuliko bongo thubutu...
Watanzania sisi wagum kinoma kuelewa kutokuwa na chama haimaanishi huwez piga kura unampigie atakae kuvutia kwa Sera zake jaman duh, ndo maana tunaibiwa kila siku
Tatizo ww mtoa maada huelewi na huyo mwenzio wakukurupuka, wananchi wanawezaje kupa pesa ikiwa pesa ambayo watu wasimiyu wangepata kwa kuendesha maisha hawata ipata maisha yataendelea kuwa magum hvo hvo, maana watu wangeenda pale simiyu eangehitaji kula, kulala, kunywa, mafuta, usafiri walau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.