Hivi hii serikali ni kweli ipo kwaajili ya wanyonge au ndio inawanyonga na shangaa wanaotumbuliwa ni wa chini na rambirambi zinzotumbuliwa ni za familia maskini ipo siku gharika litawajia
Nampongeza Eddo ukawa wamemnusuru pia kaonyesha ujasiri hivyo nazidi kumwamini kwa mamuzi magumu kajipiga chini mwenyewe ndani ya ssm pia kajiongeza inanekana anao uwezo ukifanya ujinga anakupotezea mazima
Lowasa karibu chadema tutakuunga mkono hado wanaokusema wanatokwa na mapovu wanajua utaondoka na wafuasi wengi wa ssm tutakuunga mkono wapinzani wote wametoka ssm bada ya kukiri kua ccm ni mbovu mtandao huu
usikurudishe nyuma ni mawazo tu
Lowasa ni kiongozi mwenye nguvu na ni mtu jasiri maana angedinda dodoma mabomu yasingetosha hivyo anastahili kuheshimiwa huwezi ukafananisha na pinda lowasa amekua karibu zaidi na wananchii na sio ccm pia anao wafuasi wengi ametenda mengi mabaya na kafanya mengi mazuri na wanachi wanamatumaini...
Msimchafue lowasa nijembe na anaitajika na bora yeye anayokashfa nyingi tu na katenda mengi mazuri pia ela zake wengi wamekula na bora amekua akijitoa na ndiomana wananchi wanatumaini kupitia kwake atafanya mabadiliko pia kumbuka huyu hakwenda kuficha pesa benki ya dua ela zake zipo mikononi...
Tokea kuumbwa kwa dunia Mungu alimuumba adam akaona si vema kua peke yake akamuumba msaidizi kupitia ubavu wa adam
Sasa basi dunia imelaniwa kutokana na ahadi y Mungu walivunja na Mungu akasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.
Matukio makubwa yakutisha wanawake...
Elimu yangu form four
Ujuzi editing vdeo na uwezo pia kufanya kazi za secretary na kufanya kazi zote zilizo hali kwakujituma hua ninakampuni nafanya nao kazi kama data clerk tatizo ni ajira za mda mfupi alietayari anitafute natamani niasonge mbele kusoma ila batimbaya nategeemewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.