Recent content by Ze Roberto

  1. Z

    Je, ushawahi kupata mpenzi mtandaoni lakini ulivyokutana nae ni tofauti kabisa na picha zake?

    Kuna jamaa yangu nakumbuka alipata demu mtandaoni ambaye alikuwa mtu wa Mbeya.. Jamaa baada ya boom kusoma ikabidi atume nauli ili demu aje.. Basi Yule alifunga safari toka Mbeya mpaka Moshi.. Hiyo siku anafika ilikuwa usiku sana Kama saa Saba hivyo ilikuwa ni ngumu sana kwenda kumpokea...
  2. Z

    Picha: Huu ni mtihani wa mwanafunzi wa kidato cha NNE!!

    Nyie mnaolalamika mnajua kitu kwenye ualimu kinaitwa "table of specifications " Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Z

    I am looking for a man

    Kwakweli...at the age of 30 you have to be humble. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Z

    I am looking for a man

    Daaaah we jeuri kweli.. Jinsi unavyojibu ni balaa.. Mwanamke lazima uwe mnyenyekevu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Z

    Natafuta mchumba

    Pamoja mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Z

    Natafuta mchumba

    Habarini wakuu,,,, bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada kuu.Nipo hapa kutafuta mchumba wa kike ambaye basi kwa namna moja au nyingine mambo yakienda vizuri awe mke wangu.Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu na nimeajiriwa kanda ya ziwa ndo makazi yangu yalipo..Dini yangu ni mkristu...
  7. Z

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Wahadhili wa udsm wamebaki Kufundisha siasa tuu na kuwapa madesa wanafunzi wao.. Wanakaririsha tuu wanafunzi aisee.. Hamna kitu tunao Huku Mtaani Kuna mmoja Juzi Kat tumeenda kufanya interview kiingereza ni mtupu kabisa afu mwalimu wa language.
  8. Z

    Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:

    Samsung A3 ya 2016 unauza bei gani Mkuu
  9. Z

    Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

    Bora uandike kiswahili kuliko kuchafua hii lugha ya watu.
  10. Z

    Wanawake wa uswazi wako vizuri kwenye ulinzi na wakishua wako vizuri ushambuliaji

    Mwanzo wa watu kupenda makalio ni movie ya kibongo inayo itwa INYE PLUS
  11. Z

    Nyie wahitimu kwanini msijiajiri

    Sio watu wote wazima wana hekima.
  12. Z

    Nyie wahitimu kwanini msijiajiri

    Kumbe na ww huwa unaongea upuuzi Cwez amini.
  13. Z

    Zigo adimu

    Daaah Hayo mazigo makubwa huwa Kama gogo kitandani n kulala tuu
  14. Z

    Tetesi: Ruby na Darasa kujiunga WCB

    Mbona queen Darleen Yupo wcb toka cku nyingi tuu ww unasema Ruby amekuwa mwanamke wa kwanza kujiunga wcb
  15. Z

    Aplication ya Onlinetv wameiondoa channel ya Azam

    Mkuu application gani hii unapata hadi Chanel Za supersport.. Naomba unifundishe tafadhali
Back
Top Bottom