Recent content by Ze mimi

  1. Ze mimi

    Tafsiri ya neno "kibamia" kisheria ni ipi?

    [emoji16][emoji16][emoji16]
  2. Ze mimi

    Kwa mtindo huu halotel siyo mtandao unaomsaidia masikini tena

    Halotel kwa kweli wamekua ni wezi sana. Mimi natumia line ya mwanachuo lakini kila nikijiunga bundle na kisha kuingia instagram ,uki play zile video hata moja tu tayari unatumiwa sms kua huna bundle.
  3. Ze mimi

    HALOTEL na bahati nasibu zao

    Binafsi sms zao wanazotutumia wateja wao hua zinanikera sana.
  4. Ze mimi

    Nimepata Maono

    [emoji16][emoji742][emoji742][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16] [emoji742][emoji742][emoji742][emoji742][emoji16][emoji742][emoji742][emoji742]...
  5. Ze mimi

    Kanisa Katoliki mnataka kutuharibia nchi?

    Kwani enzi za JK hakuwahi sema chochote pindi awapo msikitini? Hivi kiongozi wa kisiasa anavyopewa nafasi ktk nyumba za ibada unategemea aongee nini nje ya eneo lake la kazi? Acha hila ndg.
  6. Ze mimi

    Nimepatikana leo,natafuta mchumba mwingine

    Ina maana cku zote ulipokua nae hukuwahi kuhisi kama kashazaa hasa kwa kupitia nyonyo zake?
  7. Ze mimi

    Wizara ya mawasiliano itusaidie wananchi

    Acha ujinga ww...!? Huko duniani hakuna mambo ya namna hii, iweje kwa nchi kama Tanzania yenye watu maskini walionyonywa hata tone la mwisho waendelee kubebeshwa mzigo hata usiostahili?
  8. Ze mimi

    Maandalizi kabla ya tendo ndiyo mpango

    Hongera mtoa post. Cc wengne umetusaidia namna ya ku perfom well. Then c kila mtu huenda kanisani J pil.
  9. Ze mimi

    Wizara ya Mawasiliano, tafadhalini! Wamulikeni wamiliki wa ving'amuzi, ni wanyonyaji

    Hata hawa Continental ndo hawafai kabisaaa!. Yaani kama huna kifurushi hupati hata chanel moja wakati hata ukilipia chanel unazopata ni za hovyo kabisa. Naomba ushauri ni king'amuzi gani kinafaa ninunue maana hiki cha continental nataka nikitupilie mbali.
  10. Ze mimi

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Prof. Muhongo anafaa sana hata nafasi ya kuwa waziri mkuu.
  11. Ze mimi

    Hongera Hon. Endrew Chenge, hakuna kama wewe nchi hii tangu Uhuru

    Huyu mzee ndio maana hua anatetea masuala ya upandishwaji wa bei za umeme coz anafaham hua anakusanyiwa yeye hizo pesa.
  12. Ze mimi

    Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!

    Kumbe siku hiz mtu ukilala na kuamka kisha utoe tamko basi unaitwa shujaa!?
  13. Ze mimi

    Utafiti ubunge 2015 DSM ,Mnyika ,dk Faustine, Makongoro, Mwaiposa kuanguka

    Hapo kuna kitu umeteleza kidogo,muondoe Mnyika kwa hiyo list yako.
  14. Ze mimi

    Dawa ya michepuko au nyumba ndogo hii hapa

    Sasa hiyo dawa mbona hujaitaja na badala yake umetuletea chanzo cha kusadikika?
Back
Top Bottom