Dawa ya michepuko au nyumba ndogo hii hapa

Dawa ya michepuko au nyumba ndogo hii hapa

Naona watu wanapingana na ndoa takatifu hapa. Kuna "laana" aisee kuweni makini.
 
Cjaoa bado lakin kwa hali hii bado nipo nipo sana hadi nijenge kigorofa changu ndo ntaangalia wa kumaliza nae ujana
 

Ila usipo acha kazi ya awali na kuchukua kazi mpya na ukazifanya zote per time huenda ukawa mjanja sana ila unahatari ya kufa mda mfupi ujao kutokana na akili kuwa na ufahamu wa kipi ni kipi na mengineyo!
 
Wadau JF salam,
Kimekuwa kilio cha wanadaoa wengi sana kwenye familia zao juu ya ujio wa michepuko au nyumba ndogo.. na niongeze kwa kusema imekuwa kama kamtindo fulani sasa kwa wanandoa..

Naomba niwarudishe kidogo kwenye asili ya mtu mwesi, kwa haraka nikifuatilia naona asili yetu kabla ya ujio wa wazungu au wakoloni na sera zao za mke mmoja kwa kila familia, babu zetu walikuwa na wake zaidi ya mmoja, hapa nisimung'unye maneno, yaani walikuwa na wake wengi sana..

Na kama msomaji wa mada hii, haukubaliani na nami hebu jiulize tafadhari, kwenye familia yako kama unafatilia histoa ya ukoo wako utagundua BABU YAKO WA BABU YAKO ALIKUWA NA MKE ZAIDI YA MMOJA,Maana yake wake wengi.

Sasa wadau mkubaliane na mimi kama tunaamini kuwa kuna magonjwa ya kurithi kwenye koo kwanini kusiwe na kurithi hizi tabia za MABABU ZETU WA KIAFRIKA ZA KUWA NA WAKE WENGI,,

Ninacho amini mimi nikuwa,tatizo la michepuo au nyumba ndogo lililo ingia sasa ni issue ya kurithi, ijapo kuwa tumeucha utamanduni wetu na kufuata wa kishenzi, namanisha wa kizungu wa kuwa na mke mmoja..

Lakini lengo la mzungu lilikuwa kupunguza idadi ya sisi kuzaliana wakati tu tegemezi..

Mtazamo wangu, inabidi mabinti walikalie kikao kulijadili kwa kina na haswa kwenye makicheni part, kuliko kuacha hali ilivyo sasa,na ufumbuzi wao waulete hapa JF na sisi wababa tutauchangia..

Karibuni sana wadau..!!

Sasa hiyo dawa mbona hujaitaja na badala yake umetuletea chanzo cha kusadikika?
 
Jaman nduguzanguni hasa mlio oa nampokwenye ndoa, wala cwashaur hata kdogo swala lamichepuko wala nyumba ndogo. Ujue wana wake co watu wazur .mwanamke akiona yupo kwenye mitala chakufanya yeye anakutafutia dawa inayo itwa LIMBWATA lengo ucwe unaipenda iyo nyumba ndogo ila mapenz yako yote uyapeleke kwake. Madhara ya hii dawa maranyingi mwanaume hua kama kondoo, hapondo utapelekeshwa mpaka utakoma.
 
DALALITZ maakili gani unayozungumzia ww..? Kama una mpenzi wako, muelimishe vizuri kuhusu nyumba ndogo yako bhana...
 
Back
Top Bottom