Hata mimi nimejiuliza maswalimengi sana bila kupata jibu nikiangalia alie tobolewa macho nimtu mkubwatu kwanini hata asiweze kukimbia na walikuwa wawilitu? Naombeni tujuzane maana nimeghafirika sana natukio hili
Yaninashidwa kuwelewa hivi wanaahadi namungu kuwa nitafikisha miaka 55 hapa kuna kunyimwa kabisa hizihela maana kwanza maisha yasasahivi nimagumu sana magojwa kibao eti mpaka miaka 55 mh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.