Kisha aombe msamaha wa kutaka bwana yule aongoze milele...
Yaani mimi nikusignie stahiki zako halafu bado UKARITEMBEREE RIPINZANI!! kama unadhani upo huru not tu zat extendi
Afe Mara ngapi?these visitations from the other side give me nothing but creeps
i fear the greeks,especially when they come with gifts
sleep is a cousin of death,keep your eyes wide open
nenda kakojoe ulaleAfe Mara ngapi?
Mungu mbariki Mzee Mwinyi
Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leo amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Ndg. Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi.
More to follow
hii ni aibu sana !Si hawajui alipo/
Leo imetimia miaka miwili kamili tangu washamba wanaofahamika kumshambulia Lissu baada ya kutumwa , lakini hakuna uchunguzi wowote uliofanyika huku CCTV camera ziking'olewa na mtu anayefahamika na kuchomwa moto
Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leo amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Ndg. Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi.
More to follow