Nafikiria hivi....Organic chemistry ya O level inaweza kuwa sawa na A level?.... Yaani mfn hii ya A level wafundishwe hawa wtt wa O level si wote wataacha chemistry..... Kuna field za kisayansi lazima upitie A level
Kasome zaidi ..Mengine mnafichwa ili ujinga ulionao usiondoke....Huyo Mariam au Maria kabla hajapata ujauzito unajua kama alikuwa ni MTU wa kukaa ndani ? na huko ndani maranyingi YOSEPH kama mnavyomuita ndie alikuwa anakaa nae sana.....Sasa kwa kukufumbua tu Yesu unaesema ni MTT wa Yoseph....ila...
Kama umemaliza dip ya Afya ..halafu unashindwa kujiongeza kwa Ishu kama hiyo ....sijui kama changamoto za kazi yako utaziweza ...bado ninawasiwasi na ww mwenyewe pamoja na chuo ulichosoma ...Endelea kufanya siri chuo ulichosoma aiseeh ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ambayo CHADEMA ikiongozwa na MTU asiye wa kanda ile..ndio siku ambayo upinzani utakuwa umeanza kuja ..lkn huu tulionao sio upinzani..Nimezungumzia chadema ....sababu ni chama kikuu cha upinzani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.