HUMU NDANI INABIDI TUWE SERIOUS MTU ANAPO POST KITU MUHIMUN KINCHOGUSA AFYA YA BINADAM SIO KILA WAKATI KUCHANGIA PUMBA TU.KAMA HUNA USHAURI WA KUTOA BORA UACHE TU KUCHANGIA:spy:
HUMU NDANI INABIDI TUWE SERIOUS MTU ANAPO POST KITU MUHIMUN KINCHOGUSA AFYA YA BINADAM SIO KILA WAKATI KUCHANGIA PUMBA TU.KAMA HUNA USHAURI WA KUTOA BORA UACHE TU KUCHANGIA:spy:
HAYA SASA NCHIMBI AUNDE HIYO KAMATI YAKE NA ATUAMBIE KUA MAREHEMU HAKUPIGWA RISASI BALI ALIDONDOKEWA NA KIPANDE CHA MKATE. R.I.H :spy:REST IN HELL KAMANDA
Yaani afadhali ile ya mct kuliko huu upuuzi tuliosomewa kwanza msomaji mwenyewe anatatetemeka huyu ndo maana lissu alisema hana sifa ni kilaza na afadhali chadema waliona mbali hawakushiriki kwenye hili
mimi nlijua leo ataongelea suala la mwangosi nikapoteza muda wangu na kuanza kumsikiliza kumbe anaongelea mambo ambayo wa tz hata hayatusaidii yaani bora angekaa kimya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.