Recent content by zamo

  1. Z

    CCM yaiteka Songea (picha)

    nape anatamani akunje ngumi, kunyoosha mikono juu anamaanisha nini? masikini ya Mungu anataabika huyu jamaa, ubongo wake unafanana na mwili wake
  2. Z

    Ujumbe wa Godbless Lema baada ya kuvuliwa ubunge kwa wana Arusha

    Lema kafulia kwelikweli..muda sio mrefu ataludia dili zake za wizi wa magari,la sivyo atakufa njaa. uko nyuma kama saa mbovu, umagamba unakuwasha, kaoge upewe nguo za kazi a.k.a GWANDA
  3. Z

    Pinda: Mabadiliko sawa ila yaende ngazi kwa ngazi

    Wooooh hii kauli ya ( mabadiliko yenye tija ni yale yanayo kwenda ngazi kwa ngazi huku yakifuata kanuni za demokrasia) ni ya kihuruma huruma vile, huku dalili za kukata tamaa zikiwa zinaonyesha waziwazi
  4. Z

    Pinda: Mabadiliko sawa ila yaende ngazi kwa ngazi

    Wooooh hii kauli ya ( mabadiliko yenye tija ni yale yanayo kwenda ngazi kwa ngazi huku yakifuata kanuni za demokrasia) ni ya kihuruma huruma vile, huku dalili za kukata tamaa zikiwa zinaonyesha waziwazi​
  5. Z

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    MKADAMBWI hebu soma tena ulicho andika husomeki kama harufu ya choo chako
  6. Z

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    nianze na wewe mkadambwi sijui mkunyambwi au matakombwi, kukujibu: hivi kauli ya nasari imekuuma sana hadi umwite mh. mbunge wetu ni msela ......., kama kwa kauli ya kishujaa inakufanya uwaite watu jina hilo na kwa mwonekano unaonekana ni mwana gamba untufundisha ni kuhusu kauli chafu...
  7. Z

    Napendekeza dr magufuri awe pm wetu mpya kama una kubaliana na mim vote na like hapa

    ....sahihisho...(pleasant ).... typing error ...lowasa .
  8. Z

    Napendekeza dr magufuri awe pm wetu mpya kama una kubaliana na mim vote na like hapa

    binafsi namwona ni walewale tu akina pleasant tofauti yake ni hana Tabia ya udokozi aka ufisadi tu Ila ni manafki wa hatari
  9. Z

    Napendekeza dr magufuri awe pm wetu mpya kama una kubaliana na mim vote na like hapa

    umeshasema mfumo unamponza tayari hatofaa kwa sababu ya mfumo so tuache ushabiki
  10. Z

    Napendekeza dr magufuri awe pm wetu mpya kama una kubaliana na mim vote na like hapa

    tuambie hizo sifa unazosema anazo msishabikie tuu hvyo hivyo 2005 watu walimshabikia. jk sasa hivi walia unaesema safi sana twambie wasifu wake isije ikawa kisasa bomoa bomoa na kugawa masamaki ndicho mnashabikia ninashaka na ushabiki huu
  11. Z

    Diamond LIVE @ Dar Live Mbagala - Hii ni sahihi kweli?

    hawana haya arumeru watu wanahitaji ulinzi wait wanajazana kwenye bongo flava pambafu kabisa haya Ila simu ya nyani muda miti yote .... ili wote waamini kuwa serikal ya baba mwanasha imechoka kuwaza lazima hayo yatokee
  12. Z

    Anguko la CHADEMA sasa ni dhahiri

    weye unatumia kuwaza badala ya ubongo ndiyo maana unashambuliwa, halima, Kisu na wengineo ni kama wachezaji wa timu imara ya cdm walimpatia pasi waliye mwamini akafunga goli taabu yako ni nini akitajwa zito kafunga au ulitaka atajwe mkeo au lusinde? mimi nilidhani unatuambia mwanzisha hoja...
  13. Z

    Kwa mara ya kwanza nakiri kuipenda CCM kwa dhati

    kama mkuu wao wa kaya kaitisha kikao basi upepo umemzidia umekuwa kimbunga alisema ni upepo utapita kwahiyo shinikizo la upepo limesaidia, ha ha Haaaah! mjenga hoja umepinda kama chama kilivyo, unatuthitishia kuwa hakuna mwanajamii ccm anayejua kufikiri anzia mwenyekiti hadi kibaka kama wewe...
  14. Z

    Huu ni uhaini na uchochezi wa CHADEMA

    mtoa mada na wanaokuunga mkono hivi mnavichwa au viwilwili ndo vinawaza, wote nadhani makalio yenu ndiyo mmefanya ni vichwa vya kuwazia au ukute mmelewa au ndo yale makafara ya .wamagamba yanaongea mnatia kichefuchefu toeni ulusinde wenu hapa. nyie ngojeni kitambo kidogo mtaijua tz ni mali ya...
  15. Z

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    hebu nianze na kuomba samahani kwa mtazamo wangu, inawezekana alimaanisha maneno yale ya kashfa waliyokuwa wakiambiwa ila si katika kuwajibika kwa waliyotenda, mfano swala la waachie ngazi hilo ni lazima wawajike hata spika aseme nini. maneno yenyewe labda ile kuitwa mchwa, goigoi, majambazi...
Back
Top Bottom