Anguko la CHADEMA sasa ni dhahiri

Anguko la CHADEMA sasa ni dhahiri

nd
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita ,nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu, kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

Wewe ungeenda kuzungumza na kingunge hili sualaa u Jambo leo sio JF. Halafu CDM sio saizi yako maana una uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo.
 
nd

Wewe ungeenda kuzungumza na kingunge hili sualaa u Jambo leo sio JF. Halafu CDM sio saizi yako maana una uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo.

Mkuu naamini kabisa kuwa uwezo wako ni below average kama wewe ndio yule mwaandishi wa habari mwenye jina kama lako
 
mkuu ritz, rejao mko wapi nisaidieni kujibu mashambulizi ya hawa wana cdm.
 
Leo kwa mara ya kwanza nalazimika kuunga mkono MTU JUHA, japo amepatia bila kuwa na dhamira ya kupatia. NI KWELI anguko la CHADEMA lipo karibu, japo si kwa sababu alizozitaja muanzisha uzi (ambaye nina wasiwasi ana utapia mlo).

CHADEMA itaanguka kwa kulemewa na wanachama kwani naona kila mwenye akili ndani ya CCM anahamia CDM hususan madiwani na wenyeviti. Itafikia wakati kutakuwa hakuna mtu hata mmoja mwenye akili timamu aliyebakia CCM na hivyo CDM itakosa mpinzani na kuanguka
 
pole sana mtoa post maana unataka kuwadanganya great thinkers. Tafuta mahali pengine kawadanganye
 
Huyu ni chizi nyinyi mko wengi hivi ukisema anguko la CDM na CCM ikabaki inakuhaje?


inakuhaje? huwezi kutofautisha kuongea ki kwenu na kiswahili wewe? hata kama ni junior member lakini unatakiwa kuwa makini sawa?
 
Katumwa huyo....anapima kina cha maji kwa miguu yote miwili....atakwenda na maji
 
Kajipange vizuri ndo uje na hiyo timilifu ya kudhihirisha hilo anguko unalolidhania
 
weye unatumia kuwaza badala ya ubongo ndiyo maana unashambuliwa, halima, Kisu na wengineo ni kama wachezaji wa timu imara ya cdm walimpatia pasi waliye mwamini akafunga goli taabu yako ni nini akitajwa zito kafunga au ulitaka atajwe mkeo au lusinde? mimi nilidhani unatuambia mwanzisha hoja Alikuwa ni lusinde na zitto akaivamia, kweli magamba wote uwezo wa kufiri ni zero rate. siku zote paka akishiba huwa analala hajuagi kuwinda tena akili ya kuwaza kujitegemea hakunaga ni mgando
 
Nakubaliana na wewe, hapa mtaani kwetu mwenyekiti wa tawi la CDM na Katibu wake usiku wa jana wameshikana mashati; kweli hiki chama ni uvunjaji wa amani tu
Kama mwenyekiti na katibu wa tawi wakishikana mashati ni dalili ya chama kuanguka, je, waziri na naibu waziri wake wakitishiana maisha mbele ya vyombo vya habari, hilo litaitwa anguko la nini?

 
MTIZAMO NI JAMBO JEMA MI NAONA A UKWELI UNABAKI HIVI ZITTO ALIFANYA HIVYO KWA SABABU YA KUTUMIA NAFASI ALIYONAYO,PILI NI WAJIBU WAKE NA ILIKUWA NI WAKATI WA KUWIND UP HOJA YAKE AMBAYO TAYARI MB LISU ALIISHACHANGIA SO NI VEMA KUJUMUISHA HILO:nono:
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.


Yatakushinda...
 
makupa jamaa yetu haya mawazo yako anayeweza kuyaelewa ni ms na ff tu..lakini pia si mbaya ukimpm rejao,ritz,balantanda,mama porojo nk watafurahia sana pm yako
 
kweli we makupa!yaaani ukiwashwa tu unajikuna na chadema,bila kumtaja zito au chadema hujisikii raha?si mlisema vyama vya msimu,siku hizi mnalipwa posho ili muiponde chadema,kwa taarifa yenu anzeni kuhamisha mali zenu kabisa bado miaka mi3.
 
Back
Top Bottom