KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Lema kafulia kwelikweli..muda sio mrefu ataludia dili zake za wizi wa magari,la sivyo atakufa njaa.
Hawezi kumfikia Tambwe Hiza......
Lema kafulia kwelikweli..muda sio mrefu ataludia dili zake za wizi wa magari,la sivyo atakufa njaa.
Hivi ile Chopa tulioambiwa kapewa Lema imeishia wapi au Ndesamburo kaona hasara.
Hivi ile Chopa tulioambiwa kapewa Lema imeishia wapi au Ndesamburo kaona hasara.
Majuto ya kikwete yalianza tangu magamba walipopoteza jimbo hili lenye asali na maziwa,maana tangu Arusha iwe chini ya kamanda Lema na Chadema as a leading Party here,jamaa kasahau kujirusha A town,maana alizoea kila wiki ngurdoto.Naona umemua kujitekenya halafu unacheka mwenyewe JK ajute sababu ya Lema hiki ni kichekesho kama kashindwa kujuta kwa Slaa, ajute kwa Lema...Chadema bana kwa kujifariji.
Lema kafulia kwelikweli..muda sio mrefu ataludia dili zake za wizi wa magari,la sivyo atakufa njaa.