Nimejaribu jackpots ngoma imekula gem 6 tatu bado hazijachezwa sport pesa, vp izo tatu zikiwin wanatoa mpunga hata kwa timu 9?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hiki kinaweza kua kigumu kwa mechi zilizobaki za ligi zitakazokutana na man u kutokana na kuona kua upo uwezekano wa city kuzingua, siku ibetia kishabiki ila upepo niliuona kwa nafasi zao ktk msimamo.
Dhana ya neno israel imetokana na pale mungu alipomuambia yakobo jina lako utaitwa israel na sio yakob tena, huyu israel kizazi chake baada ya kuishi misri utumwani kwa muda mrefu ndipo musa alipo alipotumwa kuwakomboa na kuwapeleka ktk nchi ya ahadi kanaani kutokea misri, kwahivo wakawa ni wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.