No 5 nililazwa hosp siku moja kabla ya kutoka usiku nikasikia mlango unagongwa nikajua muda wa sindano nikafungua mlango nikakuta bonge la chura tukaangaliana Tu
Kwa sababu mwanaume ndo anaenda Kwa mwanamke kuoa na si mwanamke kwenda kuoa Kwa mwanaume sasa unaanzaje kudai ndoa badala kumshawishi Kwa vitendo atangaze ndoa
Hakuna mke hapo sio Kwa sababu ana mtoto hapana anakisirani atakusumbua sana muhimu piga china vuta chuma kingine angalizo mwanamke anaye dai ndoa sana sio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.