Recent content by zaishose

  1. zaishose

    Machache ya kuzingatia - Maalumu kwa tamaduni za kitanzania

    No 5 nililazwa hosp siku moja kabla ya kutoka usiku nikasikia mlango unagongwa nikajua muda wa sindano nikafungua mlango nikakuta bonge la chura tukaangaliana Tu
  2. zaishose

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Sikuwa na kisirani na mtu hata uje Kwa ugomvi nakuangalia Tu kitu ambacho sio kawaida yangu
  3. zaishose

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Mimba ilinifanya kuwa mwema sigombani Niko mpole napenda Kila mtu Ila mimba
  4. zaishose

    Unakuta mtu mzima kabisa anatafuna haya majani kama mbuzi huku akiongea kama cherehani Bure kabisa

    Big g zile za zamani ndo zilikuwa nzr Kwa gomba,kuna ndg alisaga hakuwa mzoefu kufika saa 8 usiku aliamsha nyumba nzima na kuanza kufanya usafi
  5. zaishose

    Wanawake jiheshimuni?

    Fanya kama huwaoni
  6. zaishose

    Umeme wa 400kV toka Uganda -Tanzania, mchakato umeiva na umeanza, kugharibu dola milioni 250 za kimarekani

    Toka shirika la umeme Uganda kurudi Kwa serikali umeme unasumbua sasa huo mradi utaenda kweli!hapa Tu umeme hamna
  7. zaishose

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Kwa sababu mwanaume ndo anaenda Kwa mwanamke kuoa na si mwanamke kwenda kuoa Kwa mwanaume sasa unaanzaje kudai ndoa badala kumshawishi Kwa vitendo atangaze ndoa
  8. zaishose

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Hakuna mke hapo sio Kwa sababu ana mtoto hapana anakisirani atakusumbua sana muhimu piga china vuta chuma kingine angalizo mwanamke anaye dai ndoa sana sio
  9. zaishose

    Makabila yanayosifika kwa kutokuwa na ubinafsi

    Wachaga!labda wapare ndo wachoyo
  10. zaishose

    Ni mchanganyiko gani wa vyakula wa ajabu ambao umewahi kuujaribu?

    Ugali wa muhogo na dagaa zilizochanganywa na mayai
  11. zaishose

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    Mane kuna kitu alijua
  12. zaishose

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    HV wakikosa itakuaje
  13. zaishose

    Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

    Umeme Leo hakuna,Mzee kupita atapita sijui hofu inatoka wapi
Back
Top Bottom