Recent content by zaishose

  1. zaishose

    JamiiForums Tanzania Hii timu yangu ya Simba kumbe bado ni takataka 🚮

    Leo wanakupandisha kisukari bwashee piga kilaji tu
  2. zaishose

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Bwashee lea mwanao ndo jukumu lako mama yake apambane mwenyewe ku bond Ila bwashee mtafutie mdogo wake
  3. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Bwashee nisaidie kutafsiri kichaga sijui japo mchaga
  4. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Mm mhenga bwashee Jan 6 Ila alfu mbili nipo darasa la 3 piga hesabu sasa kichaga kilitumika kutusema unashagaa unadakwa unakula kibano
  5. zaishose

    JamiiForums Tanzania Je, ukweli ni upi kuhusu vyombo tunavyotumia Kwa chakula?

    Mbege kwenye bohora
  6. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Bwashee nimepoteana hapa😆
  7. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Kila mtu na tafsiri yake japo haijakaa Kwa heshima mbele za watu
  8. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Wanaangalia rangi na uzuri lazima kiwalambe
  9. zaishose

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Nje ya mada ukiona Una mwanamke anapiga picha katoa ulimi kama Huyo kimbia
  10. zaishose

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Hivi miaka 40 ni kijana
  11. zaishose

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda 13-Year-Old Boy Dies After Drinking Crude Alcohol to Ease Hunger in Napak

    Ila karamoja kuna njaa na ukame na karamajong Wana hasira
  12. zaishose

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli watu wenye miguu isiyo na uvungu wanakataliwa jeshini? Kama ni kweli zipi sababu?

    Kuna mjeda ana kigugumizi sasa inawezekana amekipatia huko kazini loh
Back
Top Bottom