Recent content by zaishose

  1. zaishose

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Ile ipo karibu na mnara wa Saa
  2. zaishose

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Mvalishe socks za mikono ungemuwahi zaidi alipokuwa miezi 3
  3. zaishose

    JamiiForums Tanzania Marefa wa Tanzania wanangoja nini kugomea kuchezesha mechi zote za NBC?

    Wana mapenzi na timu wanazochezesha
  4. zaishose

    JamiiForums Tanzania Marefa wa Tanzania wanangoja nini kugomea kuchezesha mechi zote za NBC?

    Marefa wa tz hawaaminiki
  5. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hongereni wanaume mnaoweza kwenda shopping na wake zenu kisha mkarudi wote kwa furaha mimi yamenishinda

    Kwa tabia hizi mkeo ukifa hataolewa kuna wanawake ni vichomi
  6. zaishose

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya Mafuta nchini ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine, Wananchi muwe watulivu

    Ug mafuta hayajapanda na wameambiwa hakuna kupandisha bado Wana akiba
  7. zaishose

    JamiiForums Tanzania Machache ya kuzingatia - Maalumu kwa tamaduni za kitanzania

    No 5 nililazwa hosp siku moja kabla ya kutoka usiku nikasikia mlango unagongwa nikajua muda wa sindano nikafungua mlango nikakuta bonge la chura tukaangaliana Tu
  8. zaishose

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Napenda kunusa harufu yake mengine sijui
  9. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Sikuwa na kisirani na mtu hata uje Kwa ugomvi nakuangalia Tu kitu ambacho sio kawaida yangu
  10. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Mimba ilinifanya kuwa mwema sigombani Niko mpole napenda Kila mtu Ila mimba
  11. zaishose

    JamiiForums Tanzania Unakuta mtu mzima kabisa anatafuna haya majani kama mbuzi huku akiongea kama cherehani Bure kabisa

    Big g zile za zamani ndo zilikuwa nzr Kwa gomba,kuna ndg alisaga hakuwa mzoefu kufika saa 8 usiku aliamsha nyumba nzima na kuanza kufanya usafi
  12. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake jiheshimuni?

    Fanya kama huwaoni
  13. zaishose

    JamiiForums Tanzania Umeme wa 400kV toka Uganda -Tanzania, mchakato umeiva na umeanza, kugharibu dola milioni 250 za kimarekani

    Toka shirika la umeme Uganda kurudi Kwa serikali umeme unasumbua sasa huo mradi utaenda kweli!hapa Tu umeme hamna
  14. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Kwa sababu mwanaume ndo anaenda Kwa mwanamke kuoa na si mwanamke kwenda kuoa Kwa mwanaume sasa unaanzaje kudai ndoa badala kumshawishi Kwa vitendo atangaze ndoa
  15. zaishose

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Hakuna mke hapo sio Kwa sababu ana mtoto hapana anakisirani atakusumbua sana muhimu piga china vuta chuma kingine angalizo mwanamke anaye dai ndoa sana sio
Back
Top Bottom