Da! Ndugu usivunjike moyo.Mungu anajua alichokuandalia kwa moyo wako wa huruma.Hujapoteza kabisa ila kuna baraka Mungu amekuandalia.Heri kutoa kuliko kupokea
Wajiajiri kwa shughul gani?kwa mitaji IPI ya kujiajiri?
By the way wengi walioshika maisha ni ngumu kuwajali ambao hawajafanikiwa.
Unamwambia MTU ajiajiri sawa but kivipi?
Aise pole. Mimi nami mwezi uliopita walinitumia meseji kama hiyo. Nikaambiwa diplomat anakuja tz. Kweli tarehe 26. 7. 2016 wakanipigia simu eti niende uwanja wa ndege wa JK NYERERE . Nipeleke 580, 000 kwenye kitengo cha mizigo. Sikuenda na wala tangu siku hyo had leo hawajanitafuta.
So achana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.