Recent content by Zachayo Nghambi

  1. Z

    Jaji Mkuu mstaafu, Othman Chande amjulia hali Tundu Lissu

    Hongera jaji mstaafu Othman Chance kwa kutambua utu ni nini.
  2. Z

    Jaji Mkuu mstaafu, Othman Chande amjulia hali Tundu Lissu

    Ni kweli kabisa, wasimwamini mtu hawawezimjua aliyetumwa kukamilisha ambalo halikukamilika. Maana hawa watu wasiojulikana siyo wa kawaida kabisa.
  3. Z

    Sehemu ya maelezo ya dereva wa Lissu yanazidi kuibua maswali mengi. Polisi wamhoji hata kwa nguvu

    Mbivu na mbichi lazima zitajulikana tu cku moja, kama dereva wake alishiriki njama ya kutaka kumuua boss wake itajulikana tu.
  4. Z

    Sehemu ya maelezo ya dereva wa Lissu yanazidi kuibua maswali mengi. Polisi wamhoji hata kwa nguvu

    Unazungumzia vitu ambavyo hats wewe mwenyewe kumbe huna uhakika navyo. Me nilifikiri labda umesimuliwa na mhusika mwenyewe.
  5. Z

    CHADEMA, hapa Lwakatare alikuwa anamaanisha nini?

    Akiwa na watu ambao hawakuonekana kwenye video ila Lwakatale ndo anaonekana peke yake. Huu ni uongo mtakatifu. Unataka kutuambia kuwa Lwakatale alikuwa anapanga mipango hiyo na mizimu/ mashetani? Kwanini yeye aonekane anaopanga nao wasionekane? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Z

    Julius Mtatiro: Kwanini Serikali inahusishwa na kushambuliwa kwa mwanasheria Tundu Lissu?

    Kumbuka unazungumzia baba na mtoto. Je, mtoto akinyea mkono utaukata na kuutupa? Jibu ni hapana. Mtoto wako hata awe vipi, utampenda tu. Ingekuwa hivyo Mungu asingenyesha mvua kwa wenye dhambi. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Z

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Wakati unapatiwa hiyo mimba ulituambia? Au wakati unataka kufanya uchafu wako na huyo rafiki wa mmeo ulitushirisha. Pambana na hli yako usitake kutushughulisha bure. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Z

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Chemba nije Bahi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Z

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nataka wa kuja wilaya ya Chemba kutoka wilaya ya Bahi tubadilishane mimi niende wilaya ya Bahi kwetu. Akina njore hampo humu. Simsaka fyuka na kayi wuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Z

    Polisi kamateni huyu kwanza na wengine wenye tabia hizi

    Kumbe wangosha wanachuki na lisu? Kwa nini wanamchukia huyu jamaa, kawakosea nn? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Z

    Chuo Kikuu Warwick alikosoma T.Lissu watuma salamu za pole kupitia Prof.Shivji

    Hakika wewe ni mtu muovu sana, unaonekana kuwa na roho mbaya kuliko ya mchawi. Kwa hiyo wakisema watu wa jimboni kwake ndo utaamini kuwa Lisu ni mtu mhimu sana ndani na nje ya nchi? Soma zaburi 34:19-21 ujifunze zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Z

    Hawakuwahi kujua kama LISSU ni mtu anayependwa na Watanzania kwa kiwango kikubwa hivi!

    Duniani kote wasema kweli huchukiwa na kuundiwa zengwe, lakini wanafiki hupendwa na kuongezewa vyeo/madaraka. Get well soon our dear brother lisu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Z

    Mheshimiwa Rais, watumishi wote wa umma wakatwe sh 5000 kuchangia ujenzi wa reli

    Unataka kiki kwa pikipiki!! Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
  14. Z

    Fundisho kwa Serikali ya CCM. Upinzani sio Uadui

    Hapa Bongo upinzani hualikwa ili wakazodolewe na kudhalilishwa mbele ya kadamnasi, siyo kujadili mambo ya kitaifa, jaribu kufuatilia.
  15. Z

    CCM hakuna watu mpaka ateue upinzani?

    Kwani ACT nao ni wapinzani?
Back
Top Bottom