Recent content by yusuph Mabina

  1. yusuph Mabina

    Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakiyamungu umetuchoka kiasichakutupwa jalalani
  2. yusuph Mabina

    TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

    Simba nayanga niyakuombwa radhi kweli au tumeshindwa kufikiri
  3. yusuph Mabina

    Mke wangu ameanza kunizoea. Naona vimigogoro vimeanza

    CHAPA MAKOFI YALIYO ENDA SHULE ATAKUHESHIMU USIMCHELEWESHE MAANA UNAVOZIDI KUCHELEWA ATAANZA KURUDI NYUMBANI SAA 5 USIKU
  4. yusuph Mabina

    Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

    MIMI NILITEGEMEA UTALETA HISTORIA KAMILI YA TAIFA LA ISRAEL TUNAYOIONA SASA PIA ISRAEL YAKWENYE BIBLIA kumbe nawewe ni hewa tu
  5. yusuph Mabina

    Kuanzia leo nimeacha kuchepuka

    🤣🤣🤣🤣🤣🖐
  6. yusuph Mabina

    PreGE2025 Hivi kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA ni chama gani kinakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi Tanzania kwa sasa?

    KWASASA HAKUNA CHAMA CHAUPINZANI KINACHOAMINIKA WATU WAMEPOTEZA IMANI NAHIVYO VYAMA KUTOKANA NA VIONGOZI WAHIVYO VYAMA KUTANGULIZA MASLAHI YAO MBELE KULIKO MASLAHI YA NCHI
  7. yusuph Mabina

    Mchungaji Msigwa: Tumaini la kweli liko ndani ya Chadema

    ULIMI KUTELEZA HAKUONDOI MAANA YA UFISADI NDANI YA CHADEMA msigwa anamengi yakutuambia sisi wana CCM amemkataa shetani nakazi zake zote
  8. yusuph Mabina

    Sio lazima kila kitu kifanyike Arusha, semina na vikao serikalini, pia vifanyikie Lindi, Mtwara, Ruvuma, zimesahaulika

    Fanyeni maendeleo huko ili pawe na vivutio watu ndio watapapenda maana huwezi kwenda kupeleka kongamano sehemu ambayo hata malazi hayakizi watu wenye nyazifa zajuu ,jengeni mahoteli makubwa
  9. yusuph Mabina

    Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

    HIYO INAWEZEKANAGA KIJIJINI TU LAKINI MJINI NI VIGUMU SANA MWANAUME KUJULIKANA KAMA UTAMBULISHO WA MJI
  10. yusuph Mabina

    Yuko wapi Makonda? Kwanini Serikali mnaruhusu hali hii?

    🤣🤣🤣🤣watu mmeshindikana sasa
Back
Top Bottom