Sasa nahisi yale mambo ya Uganda na Rwanda kufanya DRC Shamba la bibi kwa kuanzisha vikundi vya uasi ili wao wakapore kwa kisingizio cha kupambana na waasi sasa itakuwa mwisho.
Ila sidhani kama walifanya utafiti wa kibiashara. Kuwa na wateja wengi ni uhakika wa fedha nyingi kwa muda mrefu kuliko wateja wachache fedha nyingi kwa muda mchache
Kwa hiyo hata muhudumu wa hiyo taasisi anaweza kumpa maagizo Sabaya naye akatekeleza maana ndio mamlaka ya uteuzi(taasisi)?
Nafikiri umepata tafsiri tofauti kusikia Urais ni taasisi
Ndio tatizo lenu, mnapenda tabia ya kupongezana na kuita spade kijiko kikubwa badala ya sepetu.
Moja ya mambo yanayo mtanabaisha Mtaka kuwa kiongozi bora ni tabia ya kusema ukweli.
Mimi naona lile bao la haraka la kwanza ndilo liliwatoa mchezoni Simba. Lakini kwa Mkapa Simba waachane na mambo ya pira biriani, wao kwa vile wako nyuma kwa goli nne waanze na mashambulizi ya nguvu tuu na ikiwezekana kipindi cha kwanza goli zisipungue mbili.
Tuliona kule South Simba ndio...
Ufafanuzi mzuri sana umefanya JokaKuu. Asiyekuelewa ni kuwa hataki tuu kama vile ambavyo punda anaweza kulazimishwa kubeba mzigo lakini akakataa kulazimishwa kunywa maji.
Ila jina la huyo mbunge wa sasa na ambaye wakati wa Lissu alikuwa DC ni Miraji Mtaturu sio Mtatiro (huyo ni DC wa Tunduru...
Labda mheshimiwa sana Spika Ndugai angetusaidia jambo moja tuu, kwa nini hao anaowasema yeye kuwa hawajafanya jambo lolote kwa wananchi mbona tuliona wakifika kwa wapiga kura wao yaani wananchi wa majimbo husika wanapokelewa kwa heshima kubwa sana tofauti na yeye ambaye watu walimpokea kwa...
Mkuu nyaraka ngapi tunawekewa hadharani na serikali hizi ikiwemo mikataba?
Au barua za uteuzi wa wabunge ni nyaraka za siri? Maana siri tuu ndio haiwekwi hadharani
Mtu amemkataa mnayesema ni mwanae, vipi tena mlazimishe aende mahakamani kudhibitisha kuwa sio mwanae?
Eitha zibitisheni nyie kwa DNA (barua ya KM) au kubalini sio mwanae (ondoeni hao wabunge)
Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.