Naaa, siye huyu wala si UDOM ni UDSM. Aliyefukuzwa ni James Mbatia na kikundi cha watu 7 kwa kumtukana Rais-Mteule Ali Hassan Mwinyi matusi ya nguoni 1985Hivi ndiyo wewe ulifukuzwa UDOM miaka ile?? Au nimechanganya mafaili
Naaa, siye huyu wala si UDOM ni UDSM. Aliyefukuzwa ni James Mbatia na kikundi cha watu 7 kwa kumtukana Rais-Mteule Ali Hassan Mwinyi matusi ya nguoni 1985Hivi ndiyo wewe ulifukuzwa UDOM miaka ile?? Au nimechanganya mafaili
Ili apate uteuzi,bado Anafikili bado yupo zama za mwendazake,Ushamba mzigo namba ya simu ya nini?
Chadema inawanyima usingizi atiiii!
kwani wao chadema hawana nakara waliyobaki nayo???Kwa nini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
teuzi hazijawahi kwisha.bado yuko zama za yule dhalimu za kusaka teuzi.
Mahakama hizi zilizomtoa Nusrat usiku wa manane kinyume cha sheria ili kesho yake ccm wampe ubunge?Mshauri Mnyika aende mahakamani au aite BARAZA KUU ukiona hafanyi hivyo jua anacheza na akili yako
Utakuwaje na nakala ya barua ambayo unasema hukuandika ndugu yangu?kwani wao chadema hawana nakara waliyobaki nayo???
we senge umeulzwa nani alimtoa gerezan nusrat hanje na kumuapsha knyume cha sheria hujajbu hebu tolea maelezo? Nyie vjana ndo mpo humu mitandaon kumtukana mbowe hv kwel mbowe huyu huyu we mwakibinga ndo unataka kushndana nae. Kuna kpnd ulitaka eti lisu aje ujbzane nae, we mwakibinga mnuka matako ndo upambane na lisu wewe.Mshauri Mnyika aende mahakamani au aite BARAZA KUU ukiona hafanyi hivyo jua anacheza na akili yako
Wapi serikali hufanya kazi namna hiyo kwa kuweka hadharani nyaraka kisa kuna watu wanaongelea sana suala tajwa? Labda serikali ijayo ya mboweKwa nini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Hii namba jamaa ameweka ni ya M Pesa, tutupie sadaka, au anataka tumnunulie bando?!Wewe ni tume ya uchaguzi?
Kama sio tume umejuaje kuwa Mnyika ndio kapeleka majina?
Siku nyingine usiweke namba ya simu pekee bali weka na akaunti namba kabisa
Mtu amemkataa mnayesema ni mwanae, vipi tena mlazimishe aende mahakamani kudhibitisha kuwa sio mwanae?Sasa kama tumeimegoma kuiweka hadhalaniii, kwa nini chadema isichukue jukumu la kwenda mahakamani kuomba ushahidi huo??
Subiri uone. Hili suala linawahusu "wabunge" wanawake, linashughulikiwa na wanawake. Lingebebwa na wanaume ingekuja hoja ya mfumo dume. Kuhusu matokeo ya hicho wanachofanya hao wanawake wa chadema kupeleka pressure kwa Ndugai, subiri utaona matokeo. Itoshe tu kusema hao Covid 19 hawatafika 2025.Kwahiyo mumeona mahakama haifai kuwapa haki. Sasa hao vikongwe wamama bawacha wanaohangaika na ndugai watawaletea mwalobaini wa hilo tatizo huku viongozi wanaume wa chama wamestarehee??? Achani kutudanganya