Yustas Kisaka
Member
- Feb 10, 2017
- 24
- 25
Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga