Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,116
- 187,866
Habari.
Jeff Lea mchambuzi wa Efm kwenye kipindi cha Sports HQ leo, ameendelea kuzungumza vyema kuhusu Simba Sc juu ya mechi ya marudiano hapa kwa mkapa kwa kusema "Anaona kuna remix inaweza kuwepo akiwa na maana kipigo kile kile walichokipokea FNB stadium cha bao nne kinaweza kujirudia tena hapa hapa bongo"
Hapo awali aliwahi kusema kwa safu ya ulinzi wa Simba Sc ilivyokuwa mbovu basi Simba Sc hawatofika mbali kwenye haya mashindano.
Naungana na Jeff Lea kwa kauli yake ya Remix kujirudia tena kwa Mkapakapa stadium maana ni ngumu sana kubadili timu kwa kipindi kifupi naamna hiyo.
Wewe una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Jeff Lea juu ya kipigo kitakatifu tena kukishuhudia kwenye ardhi ya kwetu.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.
Jeff Lea mchambuzi wa Efm kwenye kipindi cha Sports HQ leo, ameendelea kuzungumza vyema kuhusu Simba Sc juu ya mechi ya marudiano hapa kwa mkapa kwa kusema "Anaona kuna remix inaweza kuwepo akiwa na maana kipigo kile kile walichokipokea FNB stadium cha bao nne kinaweza kujirudia tena hapa hapa bongo"
Hapo awali aliwahi kusema kwa safu ya ulinzi wa Simba Sc ilivyokuwa mbovu basi Simba Sc hawatofika mbali kwenye haya mashindano.
Naungana na Jeff Lea kwa kauli yake ya Remix kujirudia tena kwa Mkapakapa stadium maana ni ngumu sana kubadili timu kwa kipindi kifupi naamna hiyo.
Wewe una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Jeff Lea juu ya kipigo kitakatifu tena kukishuhudia kwenye ardhi ya kwetu.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.