Recent content by Yusomwasha

  1. Yusomwasha

    Facebook page for sale!!!

    Ndo muache kufake ujinga jinga wenu hapa....
  2. Yusomwasha

    Facebook page for sale!!!

    Why are u suprise?Mnajionaga classic sana mkiwa nyuma ya keyboard kwamba hamtumii mitandao km fb wakati nyie ni vitecno tu
  3. Yusomwasha

    Facebook page for sale!!!

    It has 2000 followers It is good for anything that u want to post... Sorry:I can't indicate pc or screenshot or more info here bcoz jf regulations prohibit anyone to post fb page or any link related to fb or other social media If you are interested check me on watssap 0759 432 654 or pm Thank...
  4. Yusomwasha

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Halaf pale nimeona mahali wanataka shipping date required baada ya kulipa hapo nashindwa kuelewa wanataka tarehe ya mzigo wako utumwe au wanataka siku ngapi?ufafanuzi tafadhali
  5. Yusomwasha

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Na hili la kutuma sample jee maana nimeona wakisisitizia wao ni kwamba inakuaje au ni mimi ndo nalipia?
  6. Yusomwasha

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Thank you very much friend...how about postal shipping method for a middle packages?Vipi kwa posta wanatumaga unafika faster?? Utanisamehe sana maswali yangu yanaweza kuwa mengi....
  7. Yusomwasha

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Salute jf! Mimi ni mjasiriamali mdogo nataka nianze kununua bidhaa alibaba... Huwa nanunua sana aliexpress ambaye ni mtoto wa alibaba Sasa kule naona vitu ni cheap ila na waswas sana naombeni mnisaidie haya maswali kwa waliowahi kununua.. Kwa mizigo midogo midogo wanatuma kwa njia ya posta...
  8. Yusomwasha

    Ukweli wa video hii ni upi? Je, mauaji haya ni kweli yalitokea Zanzibar?

    Nimekutana na hii video nikashtuka sana hivi wakuu hii ni kweli wakati wa mapinduzi watu waliuawa hivi?maanas hii inaonekana kama documentary fulani hivi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Yusomwasha

    Ngoja na mimi niulize ujinga.

    Litumwe kombora la nyuklia la masafa marefu likapige jua... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Yusomwasha

    Msaada nasumbuliwa na mafua na kukohoa sana hasa wakati wa usiku

    Wakuu tatizo limejirudia baada ya mwaka mmoja siku kama ya leo ni siku ya tatu nakohoa sana Kinachonishangaza ni kwamba tatizo limejirudia siku kama ya mwaka jana august 15 mwaka 2016nilianza kukohoa na juzi august 15, 2017 nimeanza kukohoa tena na leo ni siku ya 3 msaada pls
  11. Yusomwasha

    Msaada nasumbuliwa na mafua na kukohoa sana hasa wakati wa usiku

    Wakuu tatizo limejirudia baada ya mwaka mmoja siku kama ya leo ni siku ya tatu nakohoa sana Kinachonishangaza ni kwamba tatizo limejirudia siku kama ya mwaka jana august 15 mwaka 2016nilianza kukohoa na juzi august 15, 2017 nimeanza kukohoa tena na leo ni siku ya 3 msaada pls
Back
Top Bottom