Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 835
- Thread starter
- #21
Wakuu tatizo limejirudia baada ya mwaka mmoja siku kama ya leo ni siku ya tatu nakohoa sana
Kinachonishangaza ni kwamba tatizo limejirudia siku kama ya mwaka jana august 15 mwaka 2016nilianza kukohoa na juzi august 15, 2017 nimeanza kukohoa tena na leo ni siku ya 3 msaada pls
Kinachonishangaza ni kwamba tatizo limejirudia siku kama ya mwaka jana august 15 mwaka 2016nilianza kukohoa na juzi august 15, 2017 nimeanza kukohoa tena na leo ni siku ya 3 msaada pls