Recent content by yungolo mabichi

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya madaraka: Wafanyakazi 11 wa TRL kufikishwa mahakama ya Kisutu leo

    Nina imani na Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli. Nashanganzwa na watu walioaminiwa na yeye kila siku wanakutwa na madudu ya kuhujumu uchumi. Jamani mnataka nini kama hamuoni juhudi za rais. Tafadhali rais funga hao watu maana hawana shukrani.
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanne wafanyabiashara wauawa Msumbiji kwa risasi

    Poleni vijana maisha ndiyo hivyo kupata au kukosa au kukutwa na bahati mbaya hiyo. Mwenyeji Mungu aweke roho zenu salama Amen
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Makamishna wawili wa ZEC wasema hawatambui uamuzi wa kufuta matokeo

    Jamani tuache kupinda tuseme ukweli uchanguzi WA Zanzibar kurudiwa Ni kiini macho.Kama Ni democrasia hapo hakuna tujaribu mapya siyo hayo ya Wazanzibar wamearibu democracy yetu ya Tanganyika eti tunataka muungano siyo na hao siyo wakweli hao.
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Wazee muungeni mkono Rais Magufuli

    Hawa wastaafu wanataka kutoa ushauri wakati wao mbona hawakutumia hizo busara wanazotaka jumps rais WA sass.waache. Kumharibia mwenzaon
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kurudia Uchaguzi Zanzibar ni Hatari

    Ebu busara za wazee wa Tanzania kweli zinashindwa kutatua mambo mdogo kama Hilo?Kikwete ebu kuwa muwazi kwa hao wazee Mwinyi na Mkapa,wambie ulimwengu wa kulazimisha mambo haupo tena. Ni wakati wa uwazi sisi wore ndugu aliyeshida apewe tuache ubanguzi Mwalimu alituonya kama wazanzibari wanapenda...
  6. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: AU adopts President Uhuru's proposal for mass withdrawal from ICC

    the issue of African states withdrawing from ICC has been overdue. I therefore request African countries to act immediately and remain with ours the African court based in Arusha. Thanks Mr. Kenyatta for showing the way.
  7. Y

    JamiiForums Tanzania President Mugabe launches the book “Julius Nyerere: Asante Sana, Thank You”

    Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano WA Tanzania Dr.John Pombe Joseph Magufuli na kuomba uendeleze mazuri ya Mwalimu Nyerere. Wache waseme lakini nishujaa wa taifa ili. Wakina Tundu Lissu wabaki na matusi Yao. Asante Sana.
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Serikali: Tutawafilisi Mafisadi na Wahujumu Uchumi

    Jamani viongozi kuweni WA kweli na haki ya kila Mtanzania ionekane isiwe kwa walala hoi na vigogo wenzenu wanapeta. Sisi yetu macho hatuna la kufanya ila tutasema kwa kukumbushia haya musemayo Leo.
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Watuhumiwa 7 wa upotevu wa makontena bandarini waliokuwa wametoroka wamekamatwa

    Naomba Raisi fukuza kazi huyu msemaji WA TRA anapotosha ukweli WA juhudi zako.
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Watuhumiwa 7 wa upotevu wa makontena bandarini waliokuwa wametoroka wamekamatwa

    Jamaa hao siyo pekee Yao Kuna wakubwa nyuma Yao ebu tuelezeni Ni wakina nani na sasa Wako wapi wao.
Back
Top Bottom