Recent content by youssouph umary

  1. Y

    Shemeji ulichofanya ipo siku tu

    Na master mtaenda kuichukua
  2. Y

    Kitu gani ulichofanya ukamuudhi sana mpenzi wako akakasirika vile haijawahi tokea?

    Dah mi alikuta msg ya demu mwingine anaomba ped nilikula kerbu ya mdomo mpaka mdomo ukatoa Na busu wenyewe
  3. Y

    MSIBA: Nimefiwa na Mama yangu mzazi

    Dah!pole mkuu mungu akutilie wepes ktk kipindi hiki kigumu
  4. Y

    Vaginal ordour

    Sasa c ungeandika kiswahili tuelewe wote au ndo unatupa kazi ya kutafuta dictionary
  5. Y

    Vaginal ordour

    Hauvaagi Kondom ww? Mi ningevaa kondom nikagonga papuchi ile ile.sasa hapo haukumpenda ndo umemzalilisha
  6. Y

    Vaginal ordour

    Kwa hiyo ukaacha?
  7. Y

    Vigogo 25 wafyekwa mishahara mil. 625/- kwa mwezi. Ni utekelezaji agizo la Magufuli

    Sifa? ya kupata mil40? we kweli umechanganyikiwa yaani hakuna kazi ngumu kama kumtoa mtu ujinga.
  8. Y

    Nilikwenda kuzimu na nikarudi duniani (simulizi ya kweli)

    Sasa Na cc tunaosoma hayawez kutukuta kama yako uctutishe sasa tuache tusome
  9. Y

    Hijab kwenye shule za kikristo

    Kwani magufuli alopoingia madarakani wanaccm c walifurahi sasa mbona sasa hv tunalia wote hata huyo trump kwanza hawez kuuchokoza uislam
  10. Y

    Hijab kwenye shule za kikristo

    Sasa wale masista wanazovaa hadi mitaani nao wapigwe marufuku? Unajua dini zitabaki kuwa dini zina misingi yake ukifuatilia hata wanawake wakipindi cha utawala Wa manabii walikuwa wanawake wanajifunika vichwa vyao
  11. Y

    Vyoo 100 kujengwa barabara kuu ya Mwanza kwenda Dar es salaam kwa ajili ya abiria

    Hahahaha!!!nimeanza kumuamini yule mwanamuziki aliesema dunia Ni pembe tatu baadhi ya walio ndani nifyatu
  12. Y

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu ataka miito ya ibada misikitini (Adhana) kupunguza kelele

    Hawa viongoz wengine wanaacha kufuatilia maslahi ya wananchi wanafuatilia dni
Back
Top Bottom