Mkuu The Boss, kwa kweli hata Mimi huu utafiti umenifikirisha sana kwa kuwa haupo realistic. Ni sawa watanzania wengi nowadays hawapendi kujishuhulisha. Kazi kidogo pesa mingi plus starehe life goes on.....
Kinachoniwazisha Ni zaidi ni hiki watanzania wote Ni 46plus millions Na 70% yetu...
Mkuu@ Mwanakijiji, kwanza nikupongeze kwa bandiko kama hili. Maudhui ya bandiko lako yanafikirisha sana.
Hata hivyo, inatufundisha kila mtu kufanya kwa nafasi yake na wakat wake yale yanayompasa kutenda bila kuhukumu watu wengine wanaojitahidi kuonyesha njia kwa kutumia mapungufu yao.
Kama...
Mkuu lara 1, we kiboko. Hii stori nimeifuma jana but nimeanza uzi wa kwanza mpaka wa mwisho as a ghost reader. For the last episode, i coun't stop my tears. Wil be following you.
Many thanks to lara 1 sponsers who motivated her....
Mkuu. MTK, Kama kweli kampuni ya Rifaro ni ya kitapeli, Na Kama kweli imechukua zaidi ya nusu mwaka kwa TCRA kugundua hilo, pamoja Na Rifaro Africa kujitangaza kila siku kwenye television (Chanel 10) Na mitandao ya kijamii....... Basi jipu kubwa ni TCRA.
TCRA walikuwa wapi muda wote mpaka...
Safi Sana TCRA, makampuni ya simu yamekuwa yakiwachezea wateja. Na hii imekuwa karibu kwa mitandao yote. Mtu unafika mahali unakwama, unaamua kumpigia mtu simu, unaambiwa simu unayopiga haipatikani kwa sasa angali uko hewani.
Mkuu singidadodoma, rekebisha kidogo pale ulipoandika lifalo isomeke...
Mkuu sem2708, hapa ndipo hoja ilipolalia. Hii inaonuesha kuwa intelijensia ya UKAWA ilikuwa likizo kipindi hicho. Lakini kingine kwa nini walitumia kituo kimoja Tu Ili hali wakijua kuwa CCM watatumia mbinu zozote kuhakikisha wanashinda uchaguzi.
UKAWA wawaombe wananchi msamaha kwa kushindwa...
Ndugu wana Jf Isaac Mwampashi anajua chanzo cha Moto uliounguza nyumba ya mh.Mbatia. Huyu anatakiwa aisaidie polisi Kama hahusiki basi atakuwa Ni mchawi mwenye chuki iliopitiliza Zaidi kwa mh. Mbatia.
Mtu wa Kawaida anayeifahamu maisha hawezi Toa komenti ya chuki kiasi hiki. Wewe unajua upo...
Angalia hapo huu, Kura gani hizo ambazo mgawanyo wake haufiki Mia moja??? Angalia 2013 na 2014 Ni 86%;81% respectively. Na 2015 mgawanyo umezidi Mia moja(102%).
Mhh!! Hapa hakuna utafiti wowote. Jamaa wamepika vitakwimu vyao kwa lengo la kuibeba CCM tu. Hata hivo hesabu za kujumlisha zimewashinda.
Jumla ya asilimia kwa kila nwaka Ni Kama ifuatavyo; 2012(100%), 2013(86%), 2014(81%) na 2015(102%). Hivyo basi matutusa wamefanya walichoagizwa na kitengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.