Recent content by Yotes

  1. Y

    Unaweza Kutokea Muujiza, Januari 22 Kata Zoote na Jimbo la Dimani Vikaenda Upinzani.

    Na ikitokea kinyume na unavyo tarajia uta jinyonga? Uchaguzi ni pata pote!
  2. Y

    PhD ya Dkt. Rais Magufuli iko sahihi, uthibitisho huu hapa

    Ha Haahaa kweli watu wana majambo! Umefikiaje kusema yake ni ya chini? Wacha chuki na wivu
  3. Y

    Zitto: Malori 15,000 yamesimama kufanya kazi kutokana na kuongezeka kwa kodi

    Ya nani, yako wapi na yalikuwa ya nakwenda wapi?
  4. Y

    Soma jinsi mzungu huyu alivyosema kuhusu Kenya na Tanzania

    Nime jaribu bidi seme nimeshindwa . Nili ishi zaidi ya miaka 20 Nairobi mwisho nilirudi kwetu Tz. Kwetu kuzuri jamani mtu asiwadanganye. Huyo mzungu atembelee Mathare na Kibera halafu atualifu atakacho ona. Msikie tu nendeni mkaone
  5. Y

    Nilikupigania, nilikupenda, nikakuchagua na kukutetea ila sasa nimekuchukia zaidi ya Shetani!

    Hatunsaidi Melo kwa maandishi haya ya kipuuzi. Wana JF wote tuna taka haki item dele lakini si kwa kutumia matusi na dharau mnazo onyesha. Kumbuka chombo kinacho hifadhi tindi kali lazima kiwe kigumu zaidi ya tindi kali!!!!! Matusi ni kama tindi kali. Msalieni Melo atoke
  6. Y

    Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

    Ina maanisha Mhe. hajui kuandika? Mbona katia dole? AMA aliko hakuna kalamu?
  7. Y

    Kuna mambo ambayo sio ya kawaida yaliyotokea jana kwenye sherehe za Uhuru wa Tanganyika

    Kweli Tz tuko HURU. Hata ya kujisemea LOLOTE
  8. Y

    Bado naamini CCM haina uwezo wa kutuletea Tanzania bora

    Uta pita juu ya mgongo wako uki enda mbele. Sisi tuna taka watu wanao tupa maarifa ya kutatua changamoto za maendeleo siyo maneno matupu na dharau
  9. Y

    Bado naamini CCM haina uwezo wa kutuletea Tanzania bora

    Mmmm!! Kweli vijana wetu wana shida . Una anza kwa kuongelea CCM. Kabla huja enda hatua 2 tayari ume potea njia. Una anza kuongelea mtu mbona una huko hivyo? Huoni yote mazuri yaliyo let wa na Rais na Chama chake? Au uli taka uletewe ugali mezani na kulishwa? Fanya kazi wacha CHIKO CHIKO . Sasa...
  10. Y

    NETANYAHU's speech on Africans and Arabs

    Sasa tuku baliane na hitler wayahudi wamelaaniwa
  11. Y

    Tumebishana sana leo kazini; Binadamu tunaishi ndani ya dunia au nje ya dunia?

    Fana nishau na nyumba . Una ishi ndani ya nyumba siyo juu ya nyumba. Uki ishi juu ya nyumba uta anguka!
  12. Y

    WANACHUO OFFER...and other..LAPTOP BEI CHEE

    Where in Dar? Contact 0753156515
  13. Y

    Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

    This is the Anti Christ we have been reading about. He comes as false religious leader the False pope!!0
  14. Y

    Wajumbe 5 kati ya 9 wanaounda bodi ya Wadhamini CUF wakana uhalali wa maamuzi juu ya Prof. Lipumba

    Kama Hamad Sharif ana ongoza CUF Taifa kwa nini maamzi mhimu yafanyike Zanzibar na Makao Makuu ya Chama Buguruni?? Anaogopa nini kuwa na vikao Bara?
Back
Top Bottom