Unaweza Kutokea Muujiza, Januari 22 Kata Zoote na Jimbo la Dimani Vikaenda Upinzani.

Ndikwega

R I P
Feb 1, 2012
5,979
5,524
Salaam Wakuu.

Najaribu Kutafakari, hivi ikatokea Kata zoote zitakazofanya Uchaguzi wa Madiwani Januari 22 pamoja na Jimbo la Dimani vyote kwa Pamoja wakashinda Upinzani, Je, Makada watiifu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM Taifa watapata picha gani kwa Taifa.

Kuna kila dalili CCM ikapoteza Kata zoote ama kuchukua chache saana na Jimbo la Dimani pia kwenda CUF.
Hii yote ni kutokana na Wananchi kukosa kile walicho kitarajia kutoka kwenye Uongozi huu wa awamu ya 5 yaani kubwa kuboresha maisha yao. Maana badala ya Maisha kuwa yawe na Unafuu, kwanza ndiyo kila Uchao yanapaa juu, Sukari Juu, Chakula kiujmla juu na hakipatikani.

Kwahiyo ndugu zangu Chama Twawala Tafadhali Jiandaeni Kupokea mlichopanda, na iwe Fair si kwa Kutegemea Vyombo vya Dola viwasaidie kuhujumu maamzi ya Wananchi.
 
Kama uko kwenye kuotea hivi hadi muda huu.. basi Chama Dada lazima kishinde, maana huna uhakika kama upinzani utashinda au la! na unapokosa uhakika wa hili manake mategemeo yako kwa Chama Dada japo ni mategemeo hasi kwa upande wako, yaani hupendi itokee hivyo ila kwa kiwango kikubwa inaweza kutokea kwa kuwa una hofu nacho. eti 'ikitokea'
 
Kama uko kwenye kuotea hivi hadi muda huu.. basi Chama Dada lazima kishinde, maana huna uhakika kama upinzani utashinda au la! na unapokosa uhakika wa hili manake mategemeo yako kwa Chama Dada japo ni mategemeo hasi kwa upande wako, yaani hupendi itokee hivyo ila kwa kiwango kikubwa inaweza kutokea kwa kuwa una hofu nacho. eti 'ikitokea'
Unajua CCM ni roho kama roho zingine, mathalani pepo. Wapo radhi kuuwa ili washinde, hivyo kuna nafasi hiyo mkuu. Labda kama ni mgeni nao.
 
'"NA OLE WAKE MKURUGENZI WA HALMASHAURI ATAKAE SHINDWA KUTELEZA WAJIBU WAKE.'" wachache wanaweza kunielewa.....
 
Salaam Wakuu.

Najaribu Kutafakari, hivi ikatokea Kata zoote zitakazofanya Uchaguzi wa Madiwani Januari 22 pamoja na Jimbo la Dimani vyote kwa Pamoja wakashinda Upinzani, Je, Makada watiifu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM Taifa watapata picha gani kwa Taifa.

Kuna kila dalili CCM ikapoteza Kata zoote ama kuchukua chache saana na Jimbo la Dimani pia kwenda CUF.
Hii yote ni kutokana na Wananchi kukosa kile walicho kitarajia kutoka kwenye Uongozi huu wa awamu ya 5 yaani kubwa kuboresha maisha yao. Maana badala ya Maisha kuwa yawe na Unafuu, kwanza ndiyo kila Uchao yanapaa juu, Sukari Juu, Chakula kiujmla juu na hakipatikani.

Kwahiyo ndugu zangu Chama Twawala Tafadhali Jiandaeni Kupokea mlichopanda, na iwe Fair si kwa Kutegemea Vyombo vya Dola viwasaidie kuhujumu maamzi ya Wananchi.
Huo siyo muujiza
 
Kwa uchaguzi wa tume hii iliyoko chini ya kiongozi ambaye haamini katika siasa za ushindani naona kama wapinzani wameamua kupoteza muda wao na pesa. Hakuna taasisi yoyote inayofanya kazi kwa uhuru halisi zaidi ya kujipendekeza tu. Hivi najiuliza CUF kama walisusia uchaguzi wa marudio huko Znz, je huu wanashiriki kwa vigezo gani? Wakati mwingine upinzani wa namna hii ni kama kujichoresha tu.
 
Kwa uchaguzi wa tume hii iliyoko chini ya kiongozi ambaye haamini katika siasa za ushindani naona kama wapinzani wameamua kupoteza muda wao na pesa. Hakuna taasisi yoyote inayofanya kazi kwa uhuru halisi zaidi ya kujipendekeza tu. Hivi najiuliza CUF kama walisusia uchaguzi wa marudio huko Znz, je huu wanashiriki kwa vigezo gani? Wakati mwingine upinzani wa namna hii ni kama kujichoresha tu.
Huu ni wa JMT na si SMZ
 
Back
Top Bottom