nilipenda sana tundu lisu angekua hata wazir kwakua yuko cdm atabakia kuwa wazr kivuli,tundu lisu ni mtendaj mzur,baraza la mawazir lingekuwa lina pangwa kutoka pande zaidi ya moja(ccm,cdm,nccr),kungekuwa na utendaj wa hali ya juu kuliko hivi sasa,kwan baadhi ya mawazr wamekua mawazr majna