Recent content by yopy

  1. yopy

    Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

    Suala la sadaka na zaka kwa karne hii naona inamantiki Sana kama utaitumia sadaka yako na zaka yako kusaidia wahitaji na wasiojiweza kuliko kutoa kwenye makanisa ambayo Sasa yamegeuka biashara. There are a lot of needy people out there wanahitaji msaada.
  2. yopy

    Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

    Ndoa za kikristo mbona wanandoa wanaweza kuachana vizuri tu. Sheria ya ndoa ya TZ imeainisha several reasons zinawezo weza kufanya mpeane talaka kama uzinzi, ukatili,mwezi kua na kichaa kisichopona etc. Hakuna mkisto analazimishwa kukaa kwenye ndoa ikiwa ndoa yake inamatatizo kama hayo kwa...
  3. yopy

    Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

    Na mkipata hizo hela mapenzi yanaisha.
  4. yopy

    Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

    Well said, me naona tuwape muda tutaona utendaji wao, wahenga walisema umdhaniaye ndiye kumbe siye. I hope kati yao humo kuna viongozi wazuri tu.
  5. yopy

    Ukiwa na mpenzi ambaye hawezi kuendana na wewe lazima uteseke

    Haahh! Kubalance mambo ndio Kila kitu.Nmependa[emoji4]
  6. yopy

    Hongera kwa wote walioamua kuoa

    Kwakweli hoja yako ina ukweli ndani yake.
  7. yopy

    Natafuta kazi ya Afisa Mikopo

    Mkuu, Opportunity hii bado ipo?
  8. yopy

    Natafuta kazi ya Afisa Mikopo

    Mkuu naweza kupata hii opportunity? Me nipo Mwanza
  9. yopy

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umri 25 Jinsia : ke Elimu:University degree Kazi: private lawyer Location: Dar es Salaam Natafuta friends preferably wa kiume, elimu kuanzia form 6, positive minded na mchangamfu.
  10. yopy

    Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

    Mungu atusamehe dunia inapokwenda sio kabisa.
Back
Top Bottom