Suala la sadaka na zaka kwa karne hii naona inamantiki Sana kama utaitumia sadaka yako na zaka yako kusaidia wahitaji na wasiojiweza kuliko kutoa kwenye makanisa ambayo Sasa yamegeuka biashara. There are a lot of needy people out there wanahitaji msaada.
Ndoa za kikristo mbona wanandoa wanaweza kuachana vizuri tu. Sheria ya ndoa ya TZ imeainisha several reasons zinawezo weza kufanya mpeane talaka kama uzinzi, ukatili,mwezi kua na kichaa kisichopona etc. Hakuna mkisto analazimishwa kukaa kwenye ndoa ikiwa ndoa yake inamatatizo kama hayo kwa...
Umri 25
Jinsia : ke
Elimu:University degree
Kazi: private lawyer
Location: Dar es Salaam
Natafuta friends preferably wa kiume, elimu kuanzia form 6, positive minded na mchangamfu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.