Recent content by Yohimbe bark

  1. Yohimbe bark

    KERO Uongozi wa Soko la Mabibo (Dar) umeuza meza yangu nilipoenda kumuuguza baba yangu, nimeumia sana

    Roho za kikatiri huwa tunatengenezewa na jamii inayotuzunguka, hapo niende na panga niwakatekate hao sijui mameneja jamii si itaniona mimi ni muuaji. Yani sehemu ya kupata ugali wangu na familia yangu unaiuza kihuni hivyo?? Sometimes roho za kikatiri tunatengenezewa.
  2. Yohimbe bark

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Usipende kutumia wingi mkuu, hatujakutuma utusemee.
  3. Yohimbe bark

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Bia ni tam jamani, nimegundua baada ya kua mtu mzima.
  4. Yohimbe bark

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Hapo pana vibe kinoma mkuu, nipo mbali mkuu.
  5. Yohimbe bark

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Kama hunywi pombe wewe ni mpumbavu.
  6. Yohimbe bark

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Madili mengi tunayapata kwenye gambe.
  7. Yohimbe bark

    Kuna mwanaume mida hii kalala na boxer aliyoshinda nayo mchana…

    Kuna mwanamke mida hii kalala na chupi aliyoshinda nayo mchana kama mleta mada.
  8. Yohimbe bark

    Nawakumbusha leo kuna kigogo ataondoka na kijiji

    Acheni izo wakuu watu tumetia hela za kodi mshaanza uchawi.
  9. Yohimbe bark

    Sijutii kukataa kupewa nyumba nzuri na baba mkwe, nina amani sana na familia yangu kwenye nyumba ya kawaida niliyopanga

    Ulifanya maamuzi mazuri sana, mtaani watu wangekudharau na kama ni mtu wa kujichanganya mtaani lazima ungekutana na maneno ya dharau kama " dume zima linakaa ukweni"
Back
Top Bottom