Roho za kikatiri huwa tunatengenezewa na jamii inayotuzunguka, hapo niende na panga niwakatekate hao sijui mameneja jamii si itaniona mimi ni muuaji. Yani sehemu ya kupata ugali wangu na familia yangu unaiuza kihuni hivyo?? Sometimes roho za kikatiri tunatengenezewa.
Ulifanya maamuzi mazuri sana, mtaani watu wangekudharau na kama ni mtu wa kujichanganya mtaani lazima ungekutana na maneno ya dharau kama " dume zima linakaa ukweni"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.