Recent content by Yohana Wanyange

  1. Yohana Wanyange

    Je, hii ndio asili ya mtu mweusi?

    Naweka kambi
  2. Yohana Wanyange

    Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

    Kuna mtu alisema kwamba lolote mwanadamu ambalo ameliumba kichwani (theory) au kuliwaza ana uwezo kwa asilimia 100 kulikamilisha Sipingi hili wazo la time travelling ila sasa hilo wazo la kuuwa wazaz wako ukiwa umerudi nyuma miaka kadhaa (past) ndo sijalielewa hata Sent using Jamii Forums...
  3. Yohana Wanyange

    Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

    Hahahahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Yohana Wanyange

    Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

    Unaweza nitumia magombo uliyokuwa unayatumia kusoma na mm nifanye kupitia pitia tu,,,
  5. Yohana Wanyange

    Ulipaji kodi; Kwanini wafanyabishara wanawakimbia TRA?

    Naomba kuulizwa wapendwa Kumekuwa na tabia ya wafanya biashara wa maduka kuwakimbia maofisa wa TRA au wakisikia wapo jirani wanafunga maduka yao Je nn kinafanya wakimbie? Au kuna unyonyaji wowote,, na unawezaje mshauli mtu wa namna hiyo
  6. Yohana Wanyange

    Napenda kuuliza hii awamu ya pili

    Je awamu ya pili ya wanafunzi wa kidato cha tano watakaochaguliwa kwenda kusoma watachaguliwa wote kama walivyoowaorodhesha?? Kama wote ni muda gan watawapanga hawa awamu ya pili???
  7. Yohana Wanyange

    Hawa ndio watakaopangiwa post za kidato cha tano 2017 awamu ya pili

    Napenda kuuliza kuwa watapangiwa wote na watapangwa muda gan Pia n kwann wanatoa kwa awamu
  8. Yohana Wanyange

    Tarehe ya kuripoti Bukongo sekondari

    Kwa anayefahamu tarehe rasmi ya kuripoti BUKONGO sec school iliyopo Mkoani mwanza, ukerewe Kwa maana kwenye join instruction yao hawakuandika tarehe ya kuripoti na ukisema usubir mpaka ziletwe kuna mawili Msaada wakuu
  9. Yohana Wanyange

    Kwa wanafunzi waliopata div 3 ya point 22 hadi 25

    Naomba kuuliza kuwa hawa wanafunzi wataenda kidato cha tano au ndo wata jiunga na chuo moja kwa moja kusoma diploma?? Naomba msaada wenu tafadhali
Back
Top Bottom