dah asante sana kwa msaaada wako wapo raia wengi ambao wananyanyaswa na polisi bila hata kujua haki zao za msingi!!!
mmoja wao ni mimi ambapo polisi walinishka nikiendesha gari nikiwa cna leseni wakachukua gari yangu na kuiendesha wao!!
pia wawakunipa risiti walivo nisweka lumande theni...
tatizo kubwa kwa nchi yetu ni 1!! tunaongozwa na sera za vyama lakini hatuna sera za nchi ambazo zinauwajibikaji na utekelezaji!! pia kama ua vission na mission usipotekeleza anayekuwajibisha ni nani!1 taifa letu bado lina changamoto nyingi nduguzanguni!1 lazma tuwe na sera ya nchi ili kila...
shekhe Dr Ulimboka ni mmoja wa watanzania waliochoshwa na mfumo ulioko!!! watanzania waliowengi wamechoshwa ila hawana pakuanzia ndo maana Dr ameamua kuwatetea wanyonge ambao hawana sehem ya kulalamika na kupeleka matatizo yao juu ya maisha yao na manyanyaso wanayo yapata kwenye taifa lao la...
ndugu zangu katika ukombozi wa taifa kama Tanzania wengi wametolewa kama sadaka za kuteketezwa!! ndugu zangu tusikate tamaaa ukombozi wa taifa hili unakuja kesho! progress wel Dr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.