Paul Hamrete
Member
- Oct 20, 2012
- 10
- 2
Cold juiceCoton biters
Cold juiceCoton biters
Cold juice
uaminifu sio kuto kucheat ni kuhakikisha mwenzio hahisi, hajui, na hatojua kabisa.Umefika zako dukani,unataka kununua condom za kwenda kuchakachulia kwingineko,ile unasema "muuzaji naomba unipatie co....",unageuka nyuma unakutana uso kwa macho na mama watoto wako.Hii sentensi yako uliyokwisha ianzisha utaimalizia vipi ili kuepusha shari na amani iendelee kutamalaki ndani ya nyumba?
Co... cocoa ile yenye maziwa, tena bahati nzuri na wife kaja mpatie turudi zetu home! au siyo honey wangu?
Co....flin
cocacola
pharmacy na cold juice wapi na wapi! labda useme conaz
Kondoo dukani!!