MAPINDUZI YALIYOFELI
CC F. BUYOBE from Twitter
THE FAILED NKURUNZINZA’s COUP D’ETAT
Rais Nkurunzinza aliondoka Dar Es Salaam majira ya saa 12 na robo jioni kurundi nchini kwake Burundi akiwa na taarifa juu ya jaribio la mapinduzi.
Lakini tulikuja kushangaa kuona ndege ile iliyombeba Rais...
Wakuu heshima yenu,
Hivi iwapo uliomba Diploma kwa kuhofia ushindani na ukachaguliwa, je ukifika chuo unaweza kubadili kwenda Degree? Kama inawezekana unafuata njia/ taratibu zipi? Vigezo vyote vinaruhusu.
Habari wakuu ,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa hata kunitumia picha na kama yupo songea anaweza nielekeza mashine inapouzwa au inapokodishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.