hii coz inahusiana na utaalam wa maabara (kwa wanyam /binadam/mimea nk)..pia inahusisha usimamiz na utendaj wa tafit za kimaabara katik mambo mbalimbal km magonjwa ,madawa mamb ya florensic nk nk....kifup ni moja kati ya coz pana saanaaa na nzuri pia
ukisha jisajili wanakupa password na username..tumia kulog in then utaona ujumbe umeandikwa kwa maandish mekundu utaiona apo.
japo ata ukilog in hautaingia mpk ulipie iyo pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.