Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 510
Application SUA nashidwa kupata reference number naomba msaada nikiwasiliana na chuo wapatikani
ukisha jisajili wanakupa password na username..tumia kulog in then utaona ujumbe umeandikwa kwa maandish mekundu utaiona apo.Application SUA nashidwa kupata reference number naomba msaada nikiwasiliana na chuo wapatikani
asante nimeshafanikiwawapigie simu
shukrani nimeshafanikiwaukisha jisajili wanakupa password na username..tumia kulog in then utaona ujumbe umeandikwa kwa maandish mekundu utaiona apo.
japo ata ukilog in hautaingia mpk ulipie iyo pesa
asante nimeshafanikiwanavofaam ukij rejista tyuu kinachofata n control number,cjajua umekwama wap
Hizo username na password huwa ni za kulog in NACTE au Chuo?ukisha jisajili wanakupa password na username..tumia kulog in then utaona ujumbe umeandikwa kwa maandish mekundu utaiona apo.
japo ata ukilog in hautaingia mpk ulipie iyo pesa