Hata kwa akiri ndogo tu unaweza kutambua kuwa ni uongo mputu. Yaani wagombea ambao hata kura hawajapigiwa awaandinkie barua kuwaonya kutomptambua meya? Duh!
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
Hata kama ni la udaku unatakiwa kusema kama ni kweli au uongo. Kwa habari hii je, hakusamehewa kodi? Je hakuingiza bidhaa hizo? Je kampuni si yake? Je, hakuuza hivyo vifaa vilivyo samehewa kodi? Ujue kwa kariba yako hukutakiwa kusema tu ooooh! Tanzania daima ni gazeti la udaku. Jibuni tuhuma hizo
Ingependeza kama Mjengwa angesubiri uchunguzi na uthibitisho wa tuhuma kwa "udovick. Ina maana mkewe akituhumiwa atampa taraka? Nilitegema angesema watampa msaada kupata haki yake. Kuna jambo nyuma yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.