Limevunda CHADEMA

Limevunda CHADEMA

nawasiwasi labda kwasababu binadamu mwenye akili timamu hawezi andika kitu cha namna hiyo. lazima awe chizi tu. kwana anazani sisi ndiyo machizi ili tuweze kaamini ushenzi wake.
siku hizi mirembe kuna computer lab??
 
MAFILILI nani amekuteua ili kuwa mshauri wa CHADEMA? Kama hakuna, hata wewe ni janga la JF.
 
kwahiyo wewe boya umeona slaa tu ndio chama kizima

kweli kiazi ni kiazi tu

dr slaa ndo mtaji wenu pekee uliobaki kutokana na kuungwa mkono na watu wanaokula ile kitu inatafuta chakula kwa pua
 
Wafuasi wa CDM hawataki wapate taarifa yeyote nje na KUFAGILIA CHAMA CHAO, kubalini tathmini ya nje ili mpate mawazo mbadala na kujipanga kwa uchaguzi wa mwakani ambao ni msingi wa USHINDI wa uchaguzi mkuu wa 2015. Mmekalia kubisha pasipo kuangalia UHALISIA
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
Hii inaitwa character assassination! Shame on you! Gamba and RADICAL ISLAMIST!!!
 
dr slaa ndo mtaji wenu pekee uliobaki kutokana na kuungwa mkono na watu wanaokula ile kitu inatafuta chakula kwa pua
Kiazi mwingine huyu hapa! Hovyo kabisa! Hivi udini utawaisha lini? Kwanini msijadili Dr. Slaa kutokana na uwezo wake kitaaluma na kisiasa badala yake mnaingiza siasa za udini? Bure kabisa nyie CCM! Mbona CHADEMA hawawapingi kwa misingi ya udini? Mmelogwa na nani nyie manyang'au?

CCM mnapenda sana kula damu nyie, na ndiyo maana kila kukicha mnapandikiza chuki za udini ili watanzania wachukiane na kuuana. Hovyo kabisa Kikwete muasisi wa udini pamoja na wadini wenzake kama akina Atongwele na lukatony
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu Kakimbilia Uholanzi Kujitetea kuwa Nchi haijamshinda kama Vile wale Jamaa wa Uholanzi ndo walimwambia kuwa Nchi imemshinda

kati ya kinana na Slaa nani ameweza kueneza chama bila Rasilimali Fedha,KUISHABIKIA CCM LAZIMA UWE NA AKILI YA MAITI
 
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.

be a man
 
kati ya kinana na Slaa nani ameweza kueneza chama bila Rasilimali Fedha,KUISHABIKIA CCM LAZIMA UWE NA AKILI YA MAITI

Mkuu,umenisoma lakini au ????
Au hujui ni nani kaenda Kujitetea Uholanzi???
 
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.

CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.

Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!

Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
Nyie pigeni kelelee tukanenii..chafueni chadema sisi ngome zenu tuna vunja, twanga kote kote...hakula kulala mpaka kielewe.
 
Hivi kweli wafuasi wa CCM wanaweza kuishauri CDM kiroho safi juu ya nani anafaa kuiongoza CDM!ni mojawapo ya maajabu ya dunia
 
MAFILILI na ZeMarcopolo ndiyo mnaamka sasa hivi nini? kwa taarifa ya the big story ya leo ni LEMA KASHINDA RUFAA YAKE. NA MAGAMBA YA NATAKIWA KULIPA GARAMA ZOTE ZA KESI.
Hivyo kapigeni mswaki kwanza. kisha muanze kuongeo. for sure you are out of sense.
Ha ha ha haaaa! Naona CCM wameshachanganyikiwa! Wanajitekenya na kujikuna wenyewe!! Wanatembea barabarani uchi wakijinadi eti wamevaa "suti maalum" zisizoonekana na "wabaya".
Wanaweweseka, wamejipaka kinyesi na wananuka kimavimavi; wamejikojolea kwa wizi, ubabe, ufisadi na sasa wanahunyahunya mithili ya kenge lililomeza yai lililochemshwa!
Hebu tazzma unafiki wa Polisi; juzi kulikuwa na mkutano wa wehu hawa wanaojifunika mabango ya kijani mithili ya shuka za kufunikia majeneza na kesho CHADEMA wakiomba kufanya mkutano wataambiwa Aah.... kuna habari za kiintelijensia kwamba hakutakuwa na amani! Wakifanya watapigwa risasi na watakaokufa watatajwa kuuwawa kwa risasi zilizorushwa na CHADEMA!
Hawa ni 'vibwetere' wanaotabiri kiama kila kukicha ambacho hakiji na kikija kitawafuta wezi hawa na vizazi vyao wasionekane kwenye uso wa dunia milele.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom