Tsunami ya Kinana yaimaliza CHADEMA Gairo

Tsunami ya Kinana yaimaliza CHADEMA Gairo

Wanatupunguzia mamluki,

Haya wala mimi hayanipi homa. Hila za ccm za kununua watu na kuwabandika vyeo sio ngeni hapa Tanzania kwa watu wenye uelewa wa mambo. Ukifuatilia hata hizo kadi walizorudisha utabaini ni mpya na hata picha hazina. Hao ni wanachama wao wameamua kufanya usanii kuwa ndio wanarudi ccm ili kuwahadaa watu wa Gairo. Wanajidanganya wenyewe.
 
Vijana wapo Morogoro wanaolewa, ngoja watoke huko utaona kivumbi, CCM bye bye
 
ukiangalia idadi ya waliohudhuria hiyo mikutano yenyewe hawafiki hata mia tatu, sasa cdm zaidi ya 286 wametoka wapi? tunajua hiyo janja ya ccm. badilisheni hiyo staili tumeishitukia.
 
Hivi jamani Sioi Sumari yko wapi kwa sasa, mbona amepotea kama moshi wa fegi..
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?
 
Haya wala mimi hayanipi homa. Hila za ccm za kununua watu na kuwabandika vyeo sio ngeni hapa Tanzania kwa watu wenye uelewa wa mambo. Ukifuatilia hata hizo kadi walizorudisha utabaini ni mpya na hata picha hazina. Hao ni wanachama wao wameamua kufanya usanii kuwa ndio wanarudi ccm ili kuwahadaa watu wa Gairo. Wanajidanganya wenyewe.
hakuna upuuzi ulioa mukubwakama kudanganya nafsi yako, ndiyo tatizo linalo wasumbus hawa ndugu zetu, wanajua hawakubaliki, wanajua jinsi wanavyo tumia pesa za walipa kodi maskini kufanya upuuzi wao.....!!!!
 
JF Senior Expert Member
verified.png
Array


Join Date : 11th December 2010
Location : Lushoto - Kwemakame.
Posts : 1,900
Rep Power : 24446
Likes Received2768
Likes Given330


[h=2]
icon1.png
Live Updates: Mkutano wa CHADEMA uwanja wa ujenzi- Dodoma[/h]
Mkutano wa hadhara wa Chadema upo uwanja wa wajenzi karibu na sheli (Kituo cha Mafuta) mita chache karibu na kituo cha mabasi.

Kama kawaida, nyomi ipo ya kutosha.

• Maandamano makubwa sana ya magari yametusua katikati ya mji wa Dodoma, maeneo ya bunge, Makao Makuu ya CCM kueleke uwanjani. Hamasa ni kubwa sana!​

Last edited by Mohamedi Mtoi; Today at 16:19.​


 
Hata viongozi wote wa CDM wakihamia CCM mimi nitabaki maaana siungi mkono uzembe na ufisadi wa CCM[/QUOTE]

Hakuna anaye unga mkono uzembe na ufisadi lakini ni hatari zaidi tukiruhusu "genge la chadomo " kuongoza nchi, just imagine, Tundu Lisu waziri wa katiba na sheria, Lema waziri wa ulinzi, Sugu vijana utamaduni na michezo, Halima jinsia na watoto...mmmmh..Mungu aepushie mbali.
 
Swala la Ugaidi limewaondolea mvuto sana,kidogo imebaki kilimanjaro na Arusha.mpaka 2015 kushney.
 
:yo:Kumkana Lwakatare sio dawa!!! CDM Wanapaswa wajue bado ni wachanga kwa CCM!!! Miaka 36 madarakani sio kitu rahisi na cha mchezo!! Wakaze buti na wawe wavumilivu!!!
Nadhani hujajitambua ndo maana unaitwa mlengera
 
Mkuu haya unayosema kama kweli basi siasa kazi kwelikweli .
 
Back
Top Bottom