Kifupi Magufuri anakumbukwa mno, na Watanzania wengi, wasiofika humu Jf.
Watanzania wanaomkashifu waishio Jf ni kakundi kadogo mno mno.
Nje huku jamii kubwa bado inamkumbuka Magu kwa upendo wa dhati.
Mateso na adha azipatazo mwanadamu yanafikirisha mno.Ingawaje umewasilisha ktk lugha ya ghadhabu na hasira, Lakini una jambo zito tatanishi.Ni vema anayewiwa kujibu ajiibu kwa hoja isiyo na ghadhabu wala hasira, matusi wala vitisho.
Kwa kufanya hivyo hekima zenu zitawavutia wengi na zitaleta...
Dini hizi hazina msaada. Sasa jinsi wa-sudan wanavyochinjana vile, wanavyobakana vile, halafu uje uniambie linaongozwa na sharia....duuh ni kichefuchefu.Quran imeshindwa kuwapatanisha wale ndugu kule Sudan?
Ni kweli maasi yamekuwa mengi na uchafu wa kila aina.
Mungu kulipua pale Hawaii ni habari inashangaza, wamemkosea nn Mungu mwenye upendo, hata akashindwa kuwahurumia watu wale pamoja na watoto wao?
Hao wote sijui kama ni matapeli au la, ila tapeli ninayemjua mimi anaitwa BADAWI, anapenda kujiita shehe Badawi.Huyu bwana ni kijana mdogo tu matangazo ya tiba zake yako kule You tube channel.Nitakuja kueleza humu jamvini jinsi alivyonitapeli pindi nipatapo wasaa.
BADAWI NI TAPELI HASA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.