Wamefungiwa Leo hii.Baada ya jana Jumapili kupata ajali basi lake moja. Leo Jumatatu gari lake jingine limemgonga mwanajeshi Makambako. Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtaking ya ovyo Kwa dereva wa kampuni hiyo.
Tukumbuke hii gari Ndio ilipata ajali mwezi wa sita maeneo ya Mlandizi kwa dereva huyo kugonga lori
Mamlaka zimegoma kuifungia na kuwafutia leseni madereva wa kampuni hiyo.
Wamefungiwa Leo hii.
Baada ya jana Jumapili kupata ajali basi lake moja. Leo Jumatatu gari lake jingine limemgonga mwanajeshi Makambako. Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtaking ya ovyo Kwa dereva wa kampuni hiyo.
Tukumbuke hii gari Ndio ilipata ajali mwezi wa sita maeneo ya Mlandizi kwa dereva huyo kugonga lori
Mamlaka zimegoma kuifungia na kuwafutia leseni madereva wa kampuni hiyo.

Baada ya jana Jumapili kupata ajali basi lake moja. Leo Jumatatu gari lake jingine limemgonga mwanajeshi Makambako. Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtaking ya ovyo Kwa dereva wa kampuni hiyo.
Tukumbuke hii gari Ndio ilipata ajali mwezi wa sita maeneo ya Mlandizi kwa dereva huyo kugonga lori
Mamlaka zimegoma kuifungia na kuwafutia leseni madereva wa kampuni hiyo.
Kwann haushauri na hizi kampuni zingine zifungiwe unamkomalia mchina?Boya hiyo mwezi wa sita nimereport ajali za Newforce, Phoenix, Allys, malaika, Njombe, Kilimanjaro, Rungwe, Saibaba, na MM8
Kwani hizo ajali anazoripoti ni za ukweli au si kweli?Nyuzi zote za ajali ya New Force huwa unazileta wewe, inabidi uchunguzwe huenda unaihujumu hii kampuni...
Vyombo husika hili nalo mkalitizame.