Recent content by Yetu Sote

  1. Yetu Sote

    Hawa ndio waliofanya dunia kufika hapa tulipo

    List yote ni technically invalid mpaka itakaponiambia biological father wa JESUS CHRIST ni nani.
  2. Yetu Sote

    BODI YA MIKOPO: Inatosha sasa!

    Imepita miezi sasa tangu niapply kwa mara ya kwanza na hatimaye ku-appeal baada ya tangazo lao la kutia matumaini na tambo za kutosha kwenye vyombo vya habari kwamba"HAKUNA MWANAFUNZI MWENYE SIFA ATAKAEKOSA MKOPO" na kauli nyingine nyingi zifananazo na hii. Leo tena ilhali mimi bado...
  3. Yetu Sote

    Uhamiaji Tanzania na Tatizo Sugu la utendaji, Asante Rais Magufuli

    Ambokile kitu gani iache mamlaka ya uteuzi ifanye kazi yake......isije ikawa utetezi wako una 'kaunyaki' ndani yake ilhali huku kitaa kuna WACHINA,WAVIETNAM,WAGHANA,WAZAMBIA,MAKABURU na wengine wengi tu makumi kwa mamia na hawa ni wale ninaowaona mie baadhi yao wanazaidi ya miaka 10 nchini...
  4. Yetu Sote

    Tathmini ya Mikopo ya Elimu ya Juu

    Environmental Planning and Management
  5. Yetu Sote

    Tathmini ya Mikopo ya Elimu ya Juu

    Natamani na mimi niwe miongoni mwa wale wanakubaliana na tambo za Bw NGOLE msemaji wa bodi!
  6. Yetu Sote

    HESLB yatoa Tsh 459/-bilioni kwa wanafunzi wa elimu ya juu

    MIMI NI CONTINUING STUDENT NILIKOSA,NIMEAPPEAL NASUBIRI MAJIBU YATOKE!
  7. Yetu Sote

    Tathmini ya Mikopo ya Elimu ya Juu

    MIMI NI CONTINUING STUDENT NILIKOSA,NIMEAPPEAL NASUBIRI MAJIBU YATOKE!
  8. Yetu Sote

    Mikopo kwa wanaoendelea

    Daaah!eti kuna bilioni 131.
  9. Yetu Sote

    Bodi ya mikopo kuhusu Continuing Stedents na First year ambao hawakupata mkopo.

    Ifikie wakati matokeo ya continuing student yawekwe online
  10. Yetu Sote

    Mungu mkubwa hatimaye lot ya 5 na 6 zimetoka

    Kwa nini na taarifa za continuing students zisiwekwe OLAS/hazipatikani online?Na vyuo vingine vinashindwa nini kuiga SUA na IFM katika utoaji Wa taarifa za continuing students waliopata mkopo online kwenye website zao?
  11. Yetu Sote

    Serikali imetoa mikopo kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu waliotuma maombi 2015

    Mpaka sasa zimetumia hela za moto"riba"kufanya registration halafu MIJITU mingine inatafuta promo kwenye media.Hivi Kati ya Mkurugenzi Wa Bodi na ma Loan Officers Wa vyuo nani bosi?
Back
Top Bottom