Unajua Mda Mwingine Na question ur credibility ya kufikiria inakaa ni ndgo Sana Ni Lini hyo Serekal Imekuja Na majibu Yalio Jitosheleza Au kutuletea wahusika Wazi tukawafahamu wa matukio Ya utekaj Au Mauaji yanayoendelea Nchin
Bro Sizan Kama Hii Unacho Ongea umefanyia Uchunguzi Wa Kina Nacho Famahu Kuna Walimu Wengi Sana Ambao hawajapatiwa ajira kwanzia Walio Hitimu 2015 mpka leo na Kumbuka Vyuo Vinatema wahitimu wa Uwalimu takriban 4000 kila Mwaka Na Piga Hesabu toka 2015 mpaka leo wote hao hawana Ajira Na Tatizo Sio...
Ange Balance kwakua Hpo mwanzo Tu Mtoto kabla yake pamoja na elimu ilkua sio Bure lakin kuna wakat mwanafunzi anafika mpka lasaba hajui Kuandka vzr hata jina lake hyo ni kutokana na Uchache wa walimu mishahara duni ya kukatisha tamaa walimu na pia Vitendea kazi Duni kabisa navyo pia ni vichache...
Hivi Majuzi Kuna Kiongoz Flan Hv alisema Tuna Hela zetu..Hiz kaul za Sasa Zinaonesha Dhairi nchi haiko kwenye Mikono Salama..Kuna Mdau Alisema Technology is a very dangerous thing in politics coz Inawaumbua mnoo Politicians leo ataongea kila na hpo kasahau siku chache zilizopta alisema hela zipo...
Bro
Bro Kwanza Huyo Cjui ndo Naibu Waziri Hana Hoja Maana katika Zle sku 21 walzo pewa c aliyasema au angeyasema haya lakn yalkua hayaingii akiln kwa CAG ndo maana wakatupulia mbal maelezo yao hafifu..Sasa leo wanajfanya kutafta njia ya Kudanganya wananchi Huku walshindwa kumshawsh CAG..Wa Tz...
Acha kua na Fikra Finyu Kaka Pole Pole Na Kafulila hawajajibu Hoja Yoyte juu ya Upotevu wa hizo 1.5trillion walicho kifanya nu kujitahid kuizima mada maana Wao na Serekal yao walipewa siku 21 kuwaeleza CAG hzo Pesa Ziko wap na Zimetumikaje na Walishindwa Pamoja Na wataalamu wao wote na Ndio...
Huu
Mnatumia Nguvu Nyingi Sana Kumtuhumu Zito Kwan yeye Ndo alitoa Hesabu Data Za CAG mshambulien CAG kwa kuwaumbua zito alicho kifanya ni Kutilia mKazo na kutka maelezo ya hoja Ambayo mlishindwa kutoa kwa CAG pindi Inakusanya Data..Ila mnacho kifanya ni kutokwa na Povu Tu Na Kujitahid Kuizima...
Unajua Bro..Jitahidi Sana kutumia akili Kuliko Ujinga Haya Tuambie Fisadi Gan papa Ambae mpka sasa Kafilisiwa au Ypo mahakaman..Maana Kina chenge,Anna Tibaijuka bado wanadunda Tu..Cha Kufanya Jibu Hoja Hizo 1.5 trilion Zimekwenda wap Maana Serekali Ilipewa Siku 21 na CAG kutoa maelezo ya kina Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.