whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
Utamsikia tunajenga sgr na umeme wa maji, siwezi kuongeza mishahara asiyetaka kazi aondoke kuna watu wengi mtaani wanahitaji kuajiriwa
Wewe ulijuaje? Yaani kapita humu humu kwenye maneno yako