Recent content by Yes Yes Yo

  1. Yes Yes Yo

    Transcend 500 GB na modem kwa 70,000/=

    Transcend 500GB na modem ya airtel kwa Tsh 70,000/= ( vinauzwa). ni pm, ama kwa simu namba 0765277609. Location Dar es Salaam, maeneo ya mlimani
  2. Yes Yes Yo

    Roho ya hofu imenijaa

    Roho ya hofu, ikutoke kuanzia sasa ivi. hiyo hali haitokua kwako tena
  3. Yes Yes Yo

    Jamani Lowassa ana "nyota"

    Sema ivi, Mh. Lowasa ana Mungu, na mkono wa Mungu upo juu yake.
  4. Yes Yes Yo

    Duh! Hii ni hatari

    Unapo muona Malaika, kuna Mungu.
  5. Yes Yes Yo

    Duh! Hii ni hatari

  6. Yes Yes Yo

    Kazi Kweli Kweli: Nani Amebadilika - Lowassa, Mimi au Wewe?

    Tumchague nani sasa? au chama gani?
  7. Yes Yes Yo

    Kazi Kweli Kweli: Nani Amebadilika - Lowassa, Mimi au Wewe?

    Mapenzi ya Mungu yatimizwe. Yule ambae Mungu atapenda awe, ndie ataekua raisi wa JMT.
  8. Yes Yes Yo

    Binadamu akichoka,ni kiumbe hatari sana!

    Watu wamepiga pesa mzee hapo, katika mchakato wa kuundwa hiyo sheria.... Tanzania hatuna wataalamu wala Teknolojia inayoweza kukabiliana na maswala ya kimtandano 100%.. yaani ni maneno bila vitendo na vitisho kwa wananchi ili kuwanyima uhuru wa kutumia teknolojia ya habari mawasiliano.
  9. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Itakua alimaanisha Mathayo 5 : 33 - 37 33 Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana nyapo zako; 34 lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu; 35 wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala...
  10. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Kweli kabisa hata kiblia ipo hivyo, tunaona pale Daudi alipokua anakwepa kumuangamiza Mfalme Sauli, Daudi alijua yule ni mpakwa mafuta wa Bwana ( Biblia inasema usimguse mpakwa mafuta wangu ), ingawa Mfalme Sauli ali hasi ( sariti imani ) ila utumishi ( yale mafuta bado yalikua ndani yake ) bado...
  11. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Kibliblia wote walio sariti au kwenda kinyume na maagizo tuliziona impact zake... 1. Yuda Iskariote 2. Mfalme Sauli 3. Anania na mkewe Safila. Ukijua ukweli ina kuweka huru, ila kama uki ijua ukweli then ukaipindua hiyo kweli hiyo kweli ni lazima ikuondoe kwa maumivu makali sana kuliko uchungu...
  12. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Mzee samahani hiyo ni Biblia gani ambayo ina Mathayo 3: 33 - 37?
  13. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Kwanini alijiita ( alisema yeye ni ) Padre katika mkutano wake na wwandishi wa habari kwenye ukumbi wa serena? Alisema mimi ni Padre
  14. Yes Yes Yo

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Dr. Slaa katika hotuba yake alisema yeye ni Padre. Padre na siasa wapi na wapi eeh! au padre na wachumba wapi wapi mzee?
  15. Yes Yes Yo

    Je Unakumbuka Ulimpataje/Mlikutanaje na Mpenzi/mke/mme wako?

    Gerezani segerea mie nilikua mfungwa, yeye askali magereza
Back
Top Bottom