ivi waziri wa mambo ya ndani yupo hai? waziri wa kazi je? suala la nida limekua gumu wahindi wakitunyanyasa sijui tutakmbilia wapi poleni vijana haki ya mtu haipotei inachelewa tu
ndugu hata kwa balozi lala mckitini lala ni kwa cku chache 2 ningekua mimi naizi shida za kazi nicnge fikiria mapema unaambiwa uckate tamaa ungali hai mimi nilishalala kwa balozi na cjapata had leo
mchumba umepata kijana ntakutafta fce bk ila uwe tayari kuninunulia kisiwa chenye nyumba nzuri security guards wakutosha wafanya kazi wa ndani na wanje nyanya wakumlea mtoto 2takae mpata insurance nzuri za matibau na maisha, kagari cmple kaktembelea na hela ya kutosha shopping zangu za kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.