Recent content by Yehoshafati

  1. Yehoshafati

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Kwani si wana serikali yao na mamlaka yao ya mapato wanashindwa nini kujenga hiyo miundo mbinu au ndiyo ile sera yenu ya changu changu chako changu.
  2. Yehoshafati

    Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

    Kama tunao hadi umezidi matumizi huu wa kununua wa kazi gani?
  3. Yehoshafati

    Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye

    Na timu alizokuwa anazifunga zilikuwa ni ndogo mno kuliko timu ya kawaida aliyokuwa akiichezea si ndiyo eeeh
  4. Yehoshafati

    Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?

    Siyo rahisi kuipata bila kutumiwa link huioni
  5. Yehoshafati

    Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?

    Ipo muda tu ila mpaka upewe link ya kuingia
  6. Yehoshafati

    FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

    Unafikiri hiyo propaganda itafanya kazi? Watu wanakamua tu bila kujali maneno ya watu
  7. Yehoshafati

    Ni ipi siri ya Yanga hata ikiwa mbovu haijawahi kumaliza ligi nje ya nafasi ya tatu?

    Na kile kipindi ambacho kinaitwa cha bakuli ambapo hata kulipa wachezaji mishahara ilikuwa shida napo walikuwa wanafanya hivyo?
  8. Yehoshafati

    Yanga leo kacheza vibaya na Namungo

    Pira papatu papatu mbumbumbu og
  9. Yehoshafati

    Yanga leo kacheza vibaya na Namungo

    Fatilia michango yake kwenye nyuzi nyingine kolo la kutupwa hilo
  10. Yehoshafati

    Tanzania imewahi kuwa na Rais shabiki wa Simba?

    Lisu hajawahi kuwa kolo ni mwananchi toka zamani
  11. Yehoshafati

    Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

    Hawa jamaa muda mwingine unajiuliza nia yap ya kuwa viongozi katika taifa ni nini
  12. Yehoshafati

    Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

    Si mjenge vyuo vyenu muweke hizo sheria zenu chuo cha kanisa wewe unalazimisha imani yako ifuatwe jenga chak0
  13. Yehoshafati

    Mwaka 2022 nilipost post hii kuhusiana na yanga watu wakanicheka hasa hasa Mashabiki wa simba

    Naona lugha imebadirika sasa hivi mnalinganisha siyo tena kolo mna mafanikio ya robo kimataifa
  14. Yehoshafati

    Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo

    Vipi kuhusu ile barua uliyowaandikia waarabu Msipotuliza vichwa hivyo mtahama viwanja vyote naona unaanza kampeni za Lupaso kama ilivyokuwa Azam
Back
Top Bottom