Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Current visitors
Verified members
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Members
Yehoshafati
Recent content by Yehoshafati
Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu
Kwani si wana serikali yao na mamlaka yao ya mapato wanashindwa nini kujenga hiyo miundo mbinu au ndiyo ile sera yenu ya changu changu chako changu.
Yehoshafati
Post #28
Today at 2:08 PM
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia
Kama tunao hadi umezidi matumizi huu wa kununua wa kazi gani?
Yehoshafati
Post #8
Yesterday at 6:06 PM
Forum:
Jukwaa la Siasa
Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye
Na timu alizokuwa anazifunga zilikuwa ni ndogo mno kuliko timu ya kawaida aliyokuwa akiichezea si ndiyo eeeh
Yehoshafati
Post #11
Friday at 7:58 AM
Forum:
Jamii Sports
Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?
Siyo rahisi kuipata bila kutumiwa link huioni
Yehoshafati
Post #33
Mar 12, 2024
Forum:
Jamii Sports
Kwa hiyo Yanga ndiyo imegoma kufungua WhatsApp Channel?
Ipo muda tu ila mpaka upewe link ya kuingia
Yehoshafati
Post #32
Mar 12, 2024
Forum:
Jamii Sports
FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024
Unafikiri hiyo propaganda itafanya kazi? Watu wanakamua tu bila kujali maneno ya watu
Yehoshafati
Post #141
Mar 11, 2024
Forum:
Jamii Sports
Ni ipi siri ya Yanga hata ikiwa mbovu haijawahi kumaliza ligi nje ya nafasi ya tatu?
Na kile kipindi ambacho kinaitwa cha bakuli ambapo hata kulipa wachezaji mishahara ilikuwa shida napo walikuwa wanafanya hivyo?
Yehoshafati
Post #18
Mar 11, 2024
Forum:
Jamii Sports
Yanga leo kacheza vibaya na Namungo
Pira papatu papatu mbumbumbu og
Yehoshafati
Post #56
Mar 9, 2024
Forum:
Jamii Sports
Yanga leo kacheza vibaya na Namungo
Fatilia michango yake kwenye nyuzi nyingine kolo la kutupwa hilo
Yehoshafati
Post #55
Mar 9, 2024
Forum:
Jamii Sports
Tanzania imewahi kuwa na Rais shabiki wa Simba?
Lisu hajawahi kuwa kolo ni mwananchi toka zamani
Yehoshafati
Post #39
Mar 4, 2024
Forum:
Jamii Sports
Orodha tukufu ya Wanawake maarufu niliowahi kuwahusudu na kuishia kuwala kwa macho
Imebidi nicheke
Yehoshafati
Post #67
Mar 3, 2024
Forum:
JF Chit-Chats and Jokes
Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?
Hawa jamaa muda mwingine unajiuliza nia yap ya kuwa viongozi katika taifa ni nini
Yehoshafati
Post #61
Feb 29, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom
Si mjenge vyuo vyenu muweke hizo sheria zenu chuo cha kanisa wewe unalazimisha imani yako ifuatwe jenga chak0
Yehoshafati
Post #99
Feb 29, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Mwaka 2022 nilipost post hii kuhusiana na yanga watu wakanicheka hasa hasa Mashabiki wa simba
Naona lugha imebadirika sasa hivi mnalinganisha siyo tena kolo mna mafanikio ya robo kimataifa
Yehoshafati
Post #4
Feb 25, 2024
Forum:
Jamii Sports
Mambo 10 niliyoyaona jana CRB na Utopolo
Vipi kuhusu ile barua uliyowaandikia waarabu Msipotuliza vichwa hivyo mtahama viwanja vyote naona unaanza kampeni za Lupaso kama ilivyokuwa Azam
Yehoshafati
Post #39
Feb 25, 2024
Forum:
Jamii Sports
Members
Yehoshafati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back