Recent content by Yehoshafati

  1. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Mexime na Nizar wana u-Yanga? Sababu ya kufukuzwa yajulikana

    Kawaulize wale waalgeria walifanywa nini na pacome walivyopigwa nne taifa
  2. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Udhibiti Uchumi LATRA: Madereva watakaogoma Aprili 12, kufutiwa Leseni

    Vipi kuhusu walivyopandishiwa bei mafuta yalivyopanda kipindi kilichopita lakini yalivyoshuka nauli ilibaki palepale mbona hawakuomba na walibaki kimya kabisa.
  3. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Baada ya kelele nyingi, Yanga yaamua kutoa jezi mpya

    Achana naye SAYAVILE huyo hajielewi mara nitaacha kufatilia mpira mara yumo
  4. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara ndogondogo wa Kenya wacharuka baada ya Tanzania kuzuia wageni kufanya biashara ndogondogo

    Hawa jamaa wanajiona special sana kwamba wao ndiyo giant hapa yaani kila kitu wanahisi wao ndiyo wanaoguswa tu
  5. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Lawyers tusaidieni; Kwa hiyo kanisa langu likifungiwa sitakiwi kuabudu kabisa hata nikikodi ukumbi?

    Lakini lile kanisa walilokwenda kuabudu mara ya kwanza lilikuwa tofauti na lao na bado walikwenda kulivunja hilo kanisa huoni hapo kuna kitu kingine kabisa
  6. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Mataifa yote duniani hata yaungane hayaifikii China kwa uzalishaji wa chuma

    Ila wale wanaokariri na kujazana uwanjani umewasahau
  7. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka kikosi hiki cha Yanga cha Mwaka 2009? Taja Wachezaji unaowafahamu hapa

    Boniface Ambani Obren Circovic Nadir haroub Ben Mwalala Athuman Iddy Mrisho ngasa Ally shamte Godfrey Bonny Marehemu sasa hivi Shedracy Nsajigwa Nurdin Bakari nimemsahau mmoja tu
  8. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Mnaoishi Dar, eneo gani unalisikia ila hujawahi kufika?

    Ipo mkoa wa pwani mbeke ya vikindu
  9. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Usiseme wanyarwanda sema watutsi we kabila moja linahodhi kila kitu halafu useme eti nchi hiyo ina uzalendo. Uzalendo upo ila wa kikabila
  10. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Halafu akiambiwa wale M23 ni askari wa Rwanda anasema si kweli
  11. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Habari ya miaka 12 ndiyo unaileta leo unafikiri watu watakuwa hawajajifunza tu
  12. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Toa upumbavu wako na wewe unadhani hizo propoganda zenu za kijinga zitafanikiwa
  13. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Kwa hiyo we unafikiri Rwanda kuna umoja? Ngoja achokoze ndiyo atajua hajui
  14. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Simba wasiwasahau Kayombo, Smart, Tatu Malogo na Elly Sasii wakati wa kufanya usajiri wao dirisha kubwa

    Nd bila kulisahau lile kubwa lao lililotoa 6 peke yake
  15. Yehoshafati

    JamiiForums Tanzania Mtindo wa Mavazi kwa Wageni Rasmi wa Ikulu ya Tanzania

    Mbona waliovaa kanzu ni watatu au wewe unamuona huyo mmoja tu? Picha ya juu mmoja hiyo ya ya chini wawili
Back
Top Bottom