Recent content by Yayo

  1. Yayo

    Kuoga pamoja mume na mke kwenye nyumba za kupanga ni ushamba uliopitiliza, jengeni zenu mjinafasi

    Mkuu ukiendele kusubiri ujenge mtajikuta mnaenda bafuni na mkongojo alafu wajukuu kibao. Vunja mifupa wakati meno badoipo
  2. Yayo

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    wote hao waimbataarabu bungelimegeuka mipasho tu hakunajipya.
  3. Yayo

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Iliki ni moja kati ya mazao ambayo yanatumika sana karibia kila siku kwenye matumizi ya nyumbani,utumika kama viungo kwenye chakula na pia utumika kama tiba ya magonjwa mbalimbali.na pia ni mmea mfupi ambao unatoa matunda kwa miaka mingi. kunanjia mbili za kuotesha iliki unaweza kupanda mbegu...
  4. Yayo

    Msada wakisheria kuhusu makato yamshahara

    Mimi nimwajiriwa katika kampuni mojakubwa hapatanzani iliyoko arusha tatizolinakuja kwenye kukatwa mshahara kwakiwango kikubwa sana kulinga nisha na mshahara unakata masaa kwakiwango malipo ya over time jenisawa.
  5. Yayo

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Chekaung'a twe sombetini arusha.
  6. Yayo

    Chakula gani kitumike ili kuboresha na kuzalisha manii?

    Jamani kamakuna mtu anauelewa kuhusu jambo hili tusaidianae tuteushauri namawazo yakiutuuzima.
  7. Yayo

    majina ya bar/pub

    Zumbu kuku bar iko kwa mrombo arachuga.
  8. Yayo

    Can I Borrow USD$ 5?

    Nime ipenda kuanzia leo nawahikurdi nyumbani.
  9. Yayo

    Je huu ni uchawi wa namna gani?

    Duh! Wazee uchawi noma kitaa che2kuna mzee anapiga miselena paka wa kutosha ukimzingu ucku hulali.
  10. Yayo

    nimesikia kuna kifaa cha kuangalia siku za hatari kwa msichana

    Je vinapatikana wapi na kwa beigani vitatufaa sana wanandoa
Back
Top Bottom