Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

Status
Not open for further replies.
mimi nadhani kwa siasa za kitanzania hamna mwanasiasa akasema yeye ni clean kwenye ngono. Kila mtu ni mchafu. Kutumia hoja ya ufsika sidhani kama ni nguvu kwenye siasa. Naamini wanasiasa wa kweli wenye kujua sayansi ya siasa kama mzee msekwa, kinana hawawezi kutumia hii hoja kwa tanzania.

Pia, hizi kashfa zitakuwa nyingi wakati huu. Sio jambo la kushangaa. Simtetei msizi ila mbowe kwa cheo chake ana uwezo huo kama ni kazi ya chama ila hiyo hela irudishwe maana haijatumika kwa siku alizobakiza.

Ila jamani kumchafua mtu personally namna hii bila uchunguzi wa kina hutendei familia zote mbili haki.

kuna vitu vingine havihitaji uchunguzi
 
Mimi nadhani kwa siasa za Kitanzania hamna mwanasiasa akasema yeye ni clean kwenye ngono. Kila mtu ni mchafu. Kutumia hoja ya ufsika sidhani kama ni nguvu kwenye siasa. Naamini wanasiasa wa kweli wenye kujua sayansi ya siasa kama Mzee Msekwa, Kinana hawawezi kutumia hii hoja kwa Tanzania.

Pia, hizi kashfa zitakuwa nyingi wakati huu. sio jambo la kushangaa. Simtetei msizi ila Mbowe kwa Cheo chake ana uwezo huo kama ni kazi ya chama ila hiyo hela irudishwe maana haijatumika kwa siku alizobakiza.

Ila jamani kumchafua mtu personally namna hii bila uchunguzi wa kina hutendei familia zote mbili haki.
Kaka umesema kweli, tena hao waheshimiwa wengi wao tunagawana nao mademu wa mitaani na pale UDOM, kuna siku tulimkimbiza Mweshimiwa mmoja kule mnadani maili mbili aisee pamoja na kitambi jamaa alitoka mita balaa!!!
 
Sasa Bunge linaenda kusiko! Does what they say inafanya tupate maji, afya elimu zaidi.

IMHO: Mzuriiii
Inaoneka huyu Mwingulu anapozunguka kwa pesa za Chama huko mikoani hakuna cha zaidi ya kuuza sura!

Matatizo yote ameshindwa kuyaongelea badala ya kwenda kuwazalilisha wanawake bungeni!
 
Wewe kijana, usipoteze mada. Hapo hakuna hoja ya nyumba ya Dubai. Hapo kuna hoja ya kiongozi wa upinzani bungeni, Mbowe, kuomba utawala wa bunge ubadilishe safari ya mbunge ambae ni hawara yake Mbowe abadilishiwe tiketi aende Dubai akajirushe na Mbowe.

Unatetea ubadhirifu wa fedha za walipa kodi kwa starehe za Mbowe binafsi? unanini weye?
Upo hao ulipo?

Unaweza kutuletea ushahidi wa hayo maombi ya Mbowe wewe poyoyo?
 
Mods, tunaomba muwe mnafatilia habari kwa ukaribu ili mjiridhishe ni kweli ndio mruhusu ziwe hawani..
Uzi ulioanzishwa na "utaifa kwanza" na wa "faizafoxy" unatofautiana mantiki.. Na ni tofauti na kilichosemwa bungeni au wao wameongeza yao..
Hoja ilikuwa matumizi ya pesa za safari, na hakutajwa mbowe kumpigia mtu simu, wala haikutwa mbowe na huyo mbunge ni mahara..
Tuwe serious.. Politiko jokes ni upuuzi.

Mhh wewe ni lucy owenya? Maana na wewe ulikuwa kwenye raket za mboe
 
Jaman kila kitu zito, zito..yeye anahusikaje huku??? Suala la viongoz wa chadema kupenda vipochi manyoya zitto asihusishwe. Mboe analalamika usaliti, yeye kasaliti taasisi kubwa kbs ya ndoa

M/KT CDM NI MBOWE TU HADI UCHAGUZI UTAKAPOFANYIKA.mbinu ya mamluki imeshindikana mmekuja na ngonjera za kitoto? CDM hatuwezi kuwakabidhi hao mbwa wenu hata mfanyeje!
 
kama angeirudisha hazina ungepata maji! Think big you .........!

Uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipogota?

Kyela hatuna maji toka Mbunge Kasyupa aondoke 1990!Miaka yote hii 20 tumekosa maji kwa sababu ya Mbowe kwenda na msichana Dubai?

Mlugo kaharibu sana vijana wetu
 
Logic:Kwanini Bunge liridhie matumizi mabaya bila sababu za msingi?

Mwigulu na "Mhusika Mkuu" ni Marafiki.Ni mkakati wao.

Ni headline zinatafutwa na ili ionekane Mbowe sio muadilifu halafu "Mhusika Mkuu " ajifanye kumtetea

Tusisahau lile sakata la Lwakatare "Mhusika Mkuu". alikuwa na Mwigulu alipotangaza kuwa na mkanda wa mauaji.MM hakuchukua hatua yoyote kisiasa au PR.

Badae akataka Lwakatare atoswe

Ajenda ya nyumba Dubai,safari za New York na Dubai si mara ya kwanza na MASALIA walikua wakifanya kazi bega kwa bega na Mwigulu

Hiyo ajenda waliisambaza na mwaka jana July walipowekwa Hotelini na Mwigulu kule Dodoma.

Ni mwendelezo ule ule wa mkakati mchafu.

Nimeuliza kwanini Bunge liridhie matumizi mabaya ya fedha??
Pambana mkuu, maisha ya mjini ni gharama. Hata ikibidi uwe Durex ni poa tu.
 
Jaman kila kitu zito, zito..yeye anahusikaje huku??? Suala la viongoz wa chadema kupenda vipochi manyoya zitto asihusishwe. Mboe analalamika usaliti, yeye kasaliti taasisi kubwa kbs ya ndoa

The guy is obsessed with destroying Mbowe anatumia all means necessary nakwambia hata mti ukimuangukia Mbowe God forbid ujue ni Zitto.
He is the face of evil
 
Tusitoke nje ya mada jamani hoja kuu ya msingi ni kwanini Mbowe alikwenda na mbunge ambaye alitumia hela zetu kwa mambo binafsi? Kwanini atumie hela za walipa kodi kwa maslahi binafsi?

Hiyo NDIYO hoja ya MSINGI
 
Kumbe aliiomba ofisi ya utawala wa Bunge kwa barua ili mtu wake aahirishe safari na kwenda naye Dubai! Bila shaka aliruhusiwa ndio maana huyo mbunge akabadili mwelekeo na kwenda Dubai. Sasa Mwigulu anaumia nini? Alitaka yeye ndo aende Dubai?

Kazi kweli kweli.

Hahahahaha, una maana hujaelewa au ndiyo upo katika kutetea maasi?

Mwigulu anaumia kuwa wanasemwa wabunge wote kwa ubadhirifu wa mtu mmoja. Anasema magazeti yameandika kigogo wa bungeni. Bungeni kuna vigogo wengi kwa hiyo amelitaka bunge litoe mwongozo na liweke wazi ni kigogo yupi huyo aliyefanya mambo hayo. Ili Watanzania waelewe. Kuliko kupakaziwa vigogo wa bungeni wote.

Upo hapo ulipo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom